Hongera ndugu zetu Waislamu. Wakristo tujifunze kwa hili kutoka kwa ndugu zetu

Hivi Biblia inasema nini kuhusu kufunga kabla ya Easter?
Isaya 58:6-7 Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira? Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe? kwanza hakuna neno Easter katika Bibilia
 
Wiki iliyopita takwimu zilionyesha nyumba za wageni zimejaa sana, sasa kafanye utafiti leo na kesho halafu na siku zilizobaki za wiki hii
 
Hivi Biblia inasema nini kuhusu kufunga kabla ya Easter?
Haijasema moja kwa moja tufunge kabla ya pasaka...lakini maadhimisho haya yanatufanya twende katika mfano ule ule wa Bwana wetu Yesu Kristo karibu na kupokea matesobna hatimae ufufuko

Kesheni mwombe, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.
 
Hivi Biblia inasema nini kuhusu kufunga kabla ya Easter?
Acha wakatoliki tubaki na upekee wetu na waislamu wabaki na upekee wao.Hatuwezi kufanana.

Wanaotaka Kwaresma tufunge kama waislamu hawaujui ukatokili. Ukatokili haulazimishi watu waache kula chakula wakati wa Kwaresma,bali Yesu Kristo mwenyewe ndiye anaye walazimisha wakatoliki wale chakula kipindi cha Kwaresma,Yesu Kristo aliwaandalia chakula cha mwisho wanafunzi wake kabla hajafufuka na akatuamuru tufanye hivyo kwa ukumbusho wake. Utaratibu wa kikatoliki umebeba siri nzito za mbinguni ambazo sio rahisi kwa ngumbaru kuzitambua.
 
Ujinga ni pale mwafrika anapolinganisha utamaduni upi ni bora kati ya tamaduni za waarabu na tamaduni za wazungu wakati yeye utamaduni wake kautelekeza.

Acheni uzuzu nyie na utumwa wa tamaduni za watu.
 
A cha kufananisha hizo funga hao waislam kufunga ni sheria yao ila kwa sisi wakristo ni iman yako tofautisha hilo,na ndio maana ikiisha mfungo uchawi,uchafu wote unarudi tena chunguza na kingine wapo kibao hawajafunga kama ilivyo kwa wakristo ,sip unaona sehemu moja unajumilisha kote kupo hivyo🙄🙄🙄🙄 jiongeze kiazi wewe
 
Mtu anaacha uzinzi , pombe ,kitimoto Ila mfungo ukiisha anarudi Kwa speed ya 5G hii Ina maanisha Kwa sisi waswahili wanaofunga ni wachache Ila wengi tunashinda njaa bola sababu.

Mimi nilipousoma huu mchezo niliamua kuwa nitakuwa nafunga Ila sio Kwa style hii ya kutaka watu wajue nimefunga
 
Kwan ukristu nayo ni dini Au ni kamradi kakubwa kakubwa
ajabu uislam uliukuta ukristo upo hata mtume wa shetan allah muhamad alilelewa na wakristo alipata ridhiki kuptia wakristo ajabu waislam hawawapend wakristo huku wakiwahusudu waganga na wabudha au wahindu huwez skia wakilumbana nao wao wako busy na wakristo tu ajabu wanaladhimishia MUNGU wa wakristo ndo allah ktu ambacho si kweli kbs
 
Komaa na dini yako ya waarabu achana na ukristo vp wabudha na wahindu nao huwa mnawaambia haya au kufanya mihadhara ya kuwakashifu au lenu ni moja.
 
Funga ya kikristo ni ngumu moja hutakiwi kujulikaa,mbili kula mara moja kwa siku moja.Huku hiyo milo miwili hela yake unatakiwa ufanye matendo ya huruma,tena uyafanye bila kujionesha.

Ila kama huwezi kwa sababu za kiafya au nyingine unaweza ukajinyima mlo mmoja au hata kupunguza luxury kama ulikuwa unausafiri wako binafsi unaweza tumia wa umma na ile hela ikaenda kufanya matendo ya uhuruma,cha msingi ni kujinyima na kuacha matendo maovu na kufanya matendo ya huruma.
 
Funga ni imani na ibada tosha ukifunga usiwe kero kwa wenzio either kuwapiga,kuwasimanga,kuwasakama kisa funga yako.
 

Sio wakristo tunaanza J5, sema wa Catholic!
 
Wewe ni mkristo?
 
Ongezea na wanasali kwa utulivu hawana mambo ya sebene kama la yesu ibadani, wala kukata viuno ibadani, Wala mapaja nje, Wala kuchanganyika na wanawake, wanavaa stara. Nk
Una uhakika wanaume na wanawake huwa hawachanganyiki msikitini?
 
Mkifunga nyie inatosha babu,kwani kuna mashindano ya kufunga?
 
Hakuna cha kuiga humo,nipo Kariakoo hapa na jamaa zangu wanajipigisha miayo tu wanaulizana maendeleo ya funga zao huku wakifanya yale yale waliyokuwa wanayafanya juzi kasoro tu hawajaagiza vyakula kama ilivyozoeleka.

Ninachojua mimi imani siyo itikadi kwamba mtaamrishwa kwa lazima siku hizi kadhaa mtafanya hiki mtafanya kile imani ipo moyoni mwa mtu mmoja mmoja na kila mmoja ataitekeleza kwa kiwango chake,wengi kwenye hizi imani ni wanafiq wanafanya vitu waonekane.funga nzuri na sahihi ni ile akifunga mtu hata aliye jirani yake asihisi kama kafunga tofauti na hizi funga za watu wanatangaziana mpaka simu wanapigiana kuulizana hali za funga zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…