musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
- Thread starter
-
- #81
Hahaha 😆Kwani na sisi wakristo huwa tunafunga? Sisi si huwa tunapumzika kula baadhi ya vyakula? Mwaka jana rafiki yangu alifunga kula nyama tukakaribishwa sehemu wamepika sambusa za nyama yeye akatoa nyama zote ndani ya sambusa akala maganda ya nje ili asiharibu funga yake.
Sisi wakristo tukifunga tunafunga kwa imani ni kati yetu na mungu maana hata tukifunga huwezi kuona maana muda wote tunakula ila rohoni tumefunga
Baki kwenye hoja hiyo mada imetoka wapiHapo unataka turudi kwenye mabishano ya dini na usahihi wa ukatoliki bla bla bla, I don’t have time for that nonsense
KabisaFunga ni imani na ibada tosha ukifunga usiwe kero kwa wenzio either kuwapiga,kuwasimanga,kuwasakama kisa funga yako.
Na pasaka mnasherehekea lini
Baki kwenye hoja hiyo mada imetoka wapi
Huu mstari hauna maana yoyote kulingana na mada husika...” Yesu akasema: “Wala mimi sikuhukumu kuwa na hatia. Ondoka uende zako ... Ninyi mnahukumu kulingana na mwili;+ mimi sihukumu mtu yeyote hata kidogo.+ ...
kisilamu silamu umepatia!Wasalaam
Ndugu zetu waislamu wameanza mwezi mtukufu tangu tar 2...wanatimiza moja kati ya nguzo muhimu katika imani yao
Chanda chema huvishwa Pete...tangu wenzetu wameanza mwezi mtukufu,mwamko unauona ni mkubwa sana,watu wa kada mbalimbali,wakubwa kwa watoto,hata wale tunaowaweka kwenye makundi hatarishi kama wahuni,nao wakionekana kujitahidi...heko
Wakristo tunaanza Mfungo Jtano ya majivu ya wiki hii (hasa wakatoliki)
Ajabu muitikio wa kufunga huwa mdogo...huwa tunasingizia kufunga sio mpaka chakula kufunga ni matendo mema...sote tunajua kufunga ni namna tunayouadhibu mwili kwa kuukatalia vikali katika yale ambayo ungedai ni haki yake kama...vyakula,vinywaji,ashki,mazoea tunayoyapenda mfano burudani na michezo
Haya wakati mwingine yametusonga kiasi tumekosa tafakari kwa Mungu...mungo husaidia waliowahi kufunga mashahidi
Tusifunge pale tunapokuwa tumebananishwa na hali ngumu kama uchumi,maradhi na kadhia mbali mbali kubwa au ndogo
Tuweke uwe ni utaratibu wa kujiunganisha na Mungu...kumbuka pamoja na dini zetu...bado binadamu anatakiwa ku connect kwa namna ya pekee na Mungu wake
Hongera waislamu wakristo tuige na tubadilike
NB:Shetani akimghiribu mtu anampa na kisingizio kuhalalisha ughiribu wake...wako watakuja na hoja...ooh waislamu hawafungi wanabadili ratiba ya kula...owk basi ninyi mnajua kufunga...tuwaoneshe wenzetu
Ukweli funga yao ni nzuri na Mungu anaipokea
Hizo ni calender tu na taratibu zilizowekwa kulingana na taratibu zilizokuwepo...Na pasaka unayosherehekea utaratibu aliweka nani...au mna utaratibu wenu
Ni maamuzi binafsi tu, maana hata wao kuna za hivyo kibao tu.Mkuu hapo taswira nzima ni kwamba gharama ya ndoa ya kiislamu ni ndogo sana kiasi kwamba kuoa ni kuepesi sanaa hata bila kupitisha michango kwa ndgu na marafiki.
Wasalaam
Ndugu zetu waislamu wameanza mwezi mtukufu tangu tar 2...wanatimiza moja kati ya nguzo muhimu katika imani yao
Chanda chema huvishwa Pete...tangu wenzetu wameanza mwezi mtukufu,mwamko unauona ni mkubwa sana,watu wa kada mbalimbali,wakubwa kwa watoto,hata wale tunaowaweka kwenye makundi hatarishi kama wahuni,nao wakionekana kujitahidi...heko
Wakristo tunaanza Mfungo Jtano ya majivu ya wiki hii (hasa wakatoliki)
Ajabu muitikio wa kufunga huwa mdogo...huwa tunasingizia kufunga sio mpaka chakula kufunga ni matendo mema...sote tunajua kufunga ni namna tunayouadhibu mwili kwa kuukatalia vikali katika yale ambayo ungedai ni haki yake kama...vyakula,vinywaji,ashki,mazoea tunayoyapenda mfano burudani na michezo
Haya wakati mwingine yametusonga kiasi tumekosa tafakari kwa Mungu...mungo husaidia waliowahi kufunga mashahidi
Tusifunge pale tunapokuwa tumebananishwa na hali ngumu kama uchumi,maradhi na kadhia mbali mbali kubwa au ndogo
Tuweke uwe ni utaratibu wa kujiunganisha na Mungu...kumbuka pamoja na dini zetu...bado binadamu anatakiwa ku connect kwa namna ya pekee na Mungu wake
Hongera waislamu wakristo tuige na tubadilike
NB:Shetani akimghiribu mtu anampa na kisingizio kuhalalisha ughiribu wake...wako watakuja na hoja...ooh waislamu hawafungi wanabadili ratiba ya kula...owk basi ninyi mnajua kufunga...tuwaoneshe wenzetu
Ukweli funga yao ni nzuri na Mungu anaipokea
Ratiba na utaratibu wa sherehe zote za kikristo kwa wakristo wa magharibi zimeratibiwa na wakatolikiHizo ni calender tu na taratibu zilizowekwa kulingana na taratibu zilizokuwepo...
Ila kwenye BIBLIA hakuna kifungu kinacholazimisha mfungo wa pamoja.
"Kwa resma is catholic"
Uislamu haujaanza kwa Muhammad uislam ulianza kabla hata ya Adam.. na baada ya kizazi cha Adamu mpka wewe hapo leo hii tunakuita (Bin Adam) neno la kiarabu lenye maana ya ukoo wa adam..ajabu uislam uliukuta ukristo upo hata mtume wa shetan allah muhamad alilelewa na wakristo alipata ridhiki kuptia wakristo ajabu waislam hawawapend wakristo huku wakiwahusudu waganga na wabudha au wahindu huwez skia wakilumbana nao wao wako busy na wakristo tu ajabu wanaladhimishia MUNGU wa wakristo ndo allah ktu ambacho si kweli kbs
Maadili gani? Au unasema imeshika madili ya kupiga pesa za masikini? Imani kongwe ilianza lini?Ni imani kongwe na nzuri inayoshikilia maadilia kwa kiasi kikubwa
Sidhani kwamba kuna mtu anapangiwa gharama za kuoa. Unaweza kufunga ndoa kwa gharama unayotaka wewe, uwe muislam, mkristo etcMkuu hapo taswira nzima ni kwamba gharama ya ndoa ya kiislamu ni ndogo sana kiasi kwamba kuoa ni kuepesi sanaa hata bila kupitisha michango kwa ndgu na marafiki.
Jambo linalomhusu Mungu muumba wako linakuwaje hiari?ukifanya hiari maana yake unajipangia wakati haujajiumba mwenyeweTofauti kubwa ni kwamba ibaadat kwa mkristo ni hiari kwa muislamu ni lazima haina mjadala tena.
aaahaaha ujue nyie huwa ni wapumbavu sn sn adam na hz dini wp na wp mkiulizwa uhusiano wa adam na uislam mnaleta tafsiri ya neno islam ni unyenyekevu so mtu akiwa mnyenyekevu ndo muislam huyo sidhan kama mna akili timamu aisee tafsiri ya neno imekuwa ndo kuslimisha kila mtu iyo kuran ilikuwa wp wkt muhamad analelewa na wakristo bahati nzuri hata hadithi za muhamad znathibitisha mfuasi wa kwanza wa uislam ni muhamad na mkewe khadija halafu huku mnadanganya watu eti uislam ulianzia kwa adam shenzi kbs.Uislamu haujaanza kwa Muhammad uislam ulianza kabla hata ya Adam.. na baada ya kizazi cha Adamu mpka wewe hapo leo hii tunakuita (Bin Adam) neno la kiarabu lenye maana ya ukoo wa adam..
Waislam tunawapenda nyie wote Ndio maana muislam akikuonyesha tabasam ni mafundisho kuwa anapata baraka Kwahyo msiogope hampo wakiwa
Mimi binafsi simjui Mungu wa wakristo ni yupi maana man miungu mitatu roho nafsi na mwana sasa sijui nyie mnamuabudu Mungu yupi
ni wapi biblia imeandkwa kwmb ushoga ni sawa,nguo fupi kanisan ni sawa,kusuka kwa mwanaume ni sawa nionyeshe hata kifungu kimoja ndan ya biblia knachounga mkono hayo. Pili je hakuna waislam wanaume wanaosukap? Hakuna wanaovaa mavazi ya hovyo? Diamond anajenga mpk miskiti na amesuka au ni mkristoMaadili gani? Au unasema imeshika madili ya kupiga pesa za masikini? Imani kongwe ilianza lini?
Maadili ya kutangaza ndoa za jinsia moja kufungwa makanisani??
Maadili ya wanawake kuingia na nguo za kubana mili Yao makanisani kama kwenye dangulo na mwanaume halisi akae pembeni na mwanamke mrembo nguo zinaonyesha muomba yake na akili ikae Sawa labda shoga..
Maadili gani mnayo ona kwenu ni maadili zaidi ya kuvaa Vitop mbele ya baba mzazi
Maadili wanaume kidume kuvaa vipuli na kufuga kucha kusuka nywele na kushinda studios ndo maadili hayo? Au uhanithi?