Hongera ndugu zetu Waislamu. Wakristo tujifunze kwa hili kutoka kwa ndugu zetu


Shida Wakristo dini yenu haiko katika udhibiti. Mafundisho ya dini lazima yapokelewe Moja kwa Moja Toka kwa yule ambaye ameyafundiaha. Kuanzia kufanya ibada, kufanya biashara, kuamiliana na watu.

Leo hii nikiwauliza Wakristo ibada zenu mnazitoa wapi, mnafanya vipi biashara ? Mnaamiliana vipi na watu wengine na mfano kama huo ? Hamna majibu.

Mfano naombeni mnijibu maswali haya :

1. Yesu alifundishaje ibada ya Kufunga ?
2. Alifundishaje ibada ya ndoa ?
3. Alifundishaje namna ya kuzika ?
4. Alifundishaje namna ya kufanya biashara ?

Hivi vyote na vingine mlitakiwa muwe mna mafundisho yake Moja kwa Moja Toka kwa Yesu.
 
"sote tunajua kufunga ni namna tunayouadhibu mwili kwa kuukatalia vikali katika yale ambayo ungedai ni haki yake kama...vyakula,vinywaji,ashki,mazoea tunayoyapenda mfano burudani na michezo "

Hapa umeingia chaka plus 😁. Harafu madhehebu ya wakristo yapo mengi, nikujuze kama unaongelea kufunga ni kuadhibu mwili, Basi bado mko mbali, maana kuna madhehebu wanapiga 3 kavu, wengine wanaprogram za kupiga hadi 7 kavu.

Kama ni hoja kuadhibu mwili bado upo chaka, maana mostly wanaubadili tu namna ya ulaji, 6pm futari, kuna snacks hapo hadi saa nne wanakula, na bado daku 😊. Kuna wababe msipo muamsha kula daku, anagoma kufunga Kesho yake.

Imagine : Mtu amekula saa tisa au kumi alfajiri unadhan anasikia njaa saa ngapi 😁. Still kazini wengine hawatak ku engage asilimia nyingi atasema amefunga..

Mfungo ni way kutengeneza displini ya rohon kwa kuutiisha mwili, zile dopamine za mwili, ukiweza ku control means unataka ownership na control ya maisha yako, kutengeneza utulivu ,faida za kiafya etc.

Hauna ugomvi na mwili wako hadi uanze kuuadhibu, then ukisha upa adhabu then what??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…