Hongera nyingi sana kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Amos Makalla, umeweza

Hongera nyingi sana kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Amos Makalla, umeweza

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Naomba niungane na wana DSM wengine kumpongeza mkuu mkoa kwakweli umeweza unastahili nishani na pongezi ilikuwa sio kazi nyepesi kurudisha jiji katika hali yake baada jiji kuwa ovyo kabisa.

Sasa Dar inawaka Manzese leo unaangusha sindano unaiona kongole kwa timu nzima ya mkoa.

Ila ushauri muwashirikishe ngazi ya chini kama wenyeviti Serikali za Mitaa ili kusimamia kila mtaa wake vibanda visirejee tena maana watanzania tuna mambo ya kujaribu jaribu ataanza mmoja tu wengine wakiona kimya wanarudi kama mwanzo.

Hongera sana RC Makalla

Wako
Mwanadar es salaam
 
Naomba niungane na wana dsm wengine kumpongeza mkuu mkoa dsm kwakweli umeweza unastahiri nishani na pomgezi ilikuwa sio kazi nyepesi kurudisha jiji katika hali yake baada jiji kuwa ovyo kabisa.

Sasa Dar inawaka manzese leo unaangusha sindano unaiona kongore kwa timu nzima ya mkoa

Ila ushauri muwashirikishe ngazi ya chini kama wenyeviti serikali za mitaa ili kusimamia kila mtaa wake vibanda visilejee tena maana watanzania tuna mambo ya kujaribu jaribu ataanza mmoja tu wengine wakiona kimya wanarudi kama mwanzo

Hongera sana mh makala
Wako

Mwanadar es salaam
To be honest, nilimbeza Makalla, nilisema hataweza kuondoa wamachinga, smenishangaza kwani zoezi limefanyika kwa amani na upendo na jiji limependeza.

Ushauri wangu;
1. Makalla awaite aongee nao watoe madukuduku yao ili kupunguza mukari usijelipuka baadae..na awasikilize changamoto mpya.

2. Samia naye aitikie wito wao na kukaa nao kama wanawe, awatiw moyo kuvumilia makazi mapya na aahidi kuwasaidia, hapo atawaweza
 
Hallelujah
Angalau sasa kutoka Kibaha hadi Chalinze kutafunguka. Watu wa jijini mtuwekee picha jameni.

Asante Amos Makala
 
To be honest, nilimbeza Makalla, nilisema hataweza kuondoa wamachinga, smenishangaza kwani zoezi limefanyika kwa amani na upendo na jiji limependeza.

Ushauri wangu;
1. Makalla awaite aongee nao watoe madukuduku yao ili kupunguza mukari usijelipuka baadae..na awasikilize changamoto mpya.

2. Samia naye aitikie wito wao na kukaa nao kama wanawe, awatiw moyo kuvumilia makazi mapya na aahidi kuwasaidia, hapo atawaweza
Hangaya alisema Wamachinga ni mradi kamili.
 
Naomba niungane na wana DSM wengine kumpongeza mkuu mkoa kwakweli umeweza unastahili nishani na pongezi ilikuwa sio kazi nyepesi kurudisha jiji katika hali yake baada jiji kuwa ovyo kabisa.

Sasa Dar inawaka Manzese leo unaangusha sindano unaiona kongole kwa timu nzima ya mkoa.

Ila ushauri muwashirikishe ngazi ya chini kama wenyeviti Serikali za Mitaa ili kusimamia kila mtaa wake vibanda visirejee tena maana watanzania tuna mambo ya kujaribu jaribu ataanza mmoja tu wengine wakiona kimya wanarudi kama mwanzo.

Hongera sana RC Makalla

Wako
Mwanadar es salaam
Kwamba hawatarudi? Hiyo pongezi ingesubiri muda upite kidogo.
 
Naomba niungane na wana DSM wengine kumpongeza mkuu mkoa kwakweli umeweza unastahili nishani na pongezi ilikuwa sio kazi nyepesi kurudisha jiji katika hali yake baada jiji kuwa ovyo kabisa.

Sasa Dar inawaka Manzese leo unaangusha sindano unaiona kongole kwa timu nzima ya mkoa.

Ila ushauri muwashirikishe ngazi ya chini kama wenyeviti Serikali za Mitaa ili kusimamia kila mtaa wake vibanda visirejee tena maana watanzania tuna mambo ya kujaribu jaribu ataanza mmoja tu wengine wakiona kimya wanarudi kama mwanzo.

Hongera sana RC Makalla

Wako
Mwanadar es salaam
Ni Matumaini yangu makubwa huyu RC wako wa Dar es Salaam mwana Simba SC lia lia Mwenzangu na Shabiki Kindakindaki Mwenzangu wa Miziki ya Kikongo ( hasa Bendi yetu ya Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana ) Mheshimiwa Amos Makalla ameshaenda Kwao Morogoro 'Kujiganga' ili Makombora ya 'Kiuchawi' kutoka kwa Wamachinga yasimkute na Kummaliza mazima kama Mkuu wa Mkoa Mwenzake fulani ambayo hata Maji ya Viroba yalipewa Jina lake.

Wamachinga wakiamua Kuroga ni Hatari.
 
To be honest, nilimbeza Makalla, nilisema hataweza kuondoa wamachinga, smenishangaza kwani zoezi limefanyika kwa amani na upendo na jiji limependeza.

Ushauri wangu;
1. Makalla awaite aongee nao watoe madukuduku yao ili kupunguza mukari usijelipuka baadae..na awasikilize changamoto mpya.

2. Samia naye aitikie wito wao na kukaa nao kama wanawe, awatiw moyo kuvumilia makazi mapya na aahidi kuwasaidia, hapo atawaweza
Makala alichofanikiwa ni kuwatumia viongozi wa serikali ya mitaa ndio walioendesha hili zoezi
 
nashauri pia yale maeneo yaliotoka vibanda hasa pale rang 3 na mengine ikibid papigwen fummigation kuua vimelea.niemepita mahal kulikua na haruf kal sana ya mkojo
 
Naomba niungane na wana DSM wengine kumpongeza mkuu mkoa kwakweli umeweza unastahili nishani na pongezi ilikuwa sio kazi nyepesi kurudisha jiji katika hali yake baada jiji kuwa ovyo kabisa.

Sasa Dar inawaka Manzese leo unaangusha sindano unaiona kongole kwa timu nzima ya mkoa.

Ila ushauri muwashirikishe ngazi ya chini kama wenyeviti Serikali za Mitaa ili kusimamia kila mtaa wake vibanda visirejee tena maana watanzania tuna mambo ya kujaribu jaribu ataanza mmoja tu wengine wakiona kimya wanarudi kama mwanzo.

Hongera sana RC Makalla

Wako
Mwanadar es salaam

Sasa, kama kweli tumedhamiria kutakatisha jiji, na wenye fremu/maduka wapigwe marufuku kusambaza vitu nje ya fremu zao. Kwanza, ni mbaya kiafya. Bidhaa zao nyingi ni zile haziendani na mwanga wa moja kwa moja wa jua (huandikwa, store in a cool dry place). Kuziweka nje ni kuhatarisha maisha ya watumiaji/wateja. Pili, kutaleta muonekano mzuri wa hizo barabara. Wengi wanateka hadi sehemi za kupita.

Kupiga marufuku, kutaonesha wazi zoezi halijalenga kuumiza kundi fulani bali mmedhamiria kurudisha hadhi ya jiji.
 
Back
Top Bottom