ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 520
- 1,143
Naomba niungane na wana DSM wengine kumpongeza mkuu mkoa kwakweli umeweza unastahili nishani na pongezi ilikuwa sio kazi nyepesi kurudisha jiji katika hali yake baada jiji kuwa ovyo kabisa.
Sasa Dar inawaka Manzese leo unaangusha sindano unaiona kongole kwa timu nzima ya mkoa.
Ila ushauri muwashirikishe ngazi ya chini kama wenyeviti Serikali za Mitaa ili kusimamia kila mtaa wake vibanda visirejee tena maana watanzania tuna mambo ya kujaribu jaribu ataanza mmoja tu wengine wakiona kimya wanarudi kama mwanzo.
Hongera sana RC Makalla
Wako
Mwanadar es salaam
Sasa Dar inawaka Manzese leo unaangusha sindano unaiona kongole kwa timu nzima ya mkoa.
Ila ushauri muwashirikishe ngazi ya chini kama wenyeviti Serikali za Mitaa ili kusimamia kila mtaa wake vibanda visirejee tena maana watanzania tuna mambo ya kujaribu jaribu ataanza mmoja tu wengine wakiona kimya wanarudi kama mwanzo.
Hongera sana RC Makalla
Wako
Mwanadar es salaam