Hongera Rais John Pombe Joseph Magufuli

Hongera Rais John Pombe Joseph Magufuli

mhhhhh

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
240
Reaction score
126
Kweli hamna lisilowezekana chini ya jua .Kitendo cha kumtambua Said Salim Bakhresa na kuamua kumpatia ardhi bure kwa ajili ya kujenga kiwanda cha kusindika matunda ni dhahiri kimeonyesha kuwa Rais anawaunga mkono wawekezaji na pia kitendo hiki kitawavutia wengi kuwekeza katika sekta ya viwanda na kuifanya Tz kuwa nchi ya viwanda
 
Back
Top Bottom