Hongera Rais Magufuli kwa kuongeza idadi ya maafisa wa JWTZ kwa kasi kubwa

Hongera Rais Magufuli kwa kuongeza idadi ya maafisa wa JWTZ kwa kasi kubwa

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
4,580
Reaction score
7,943
Zamani ukifika kambi ya jeshi maafisa we jeshi ni wakumulika kwa tochi. Kambi kubwa ina askari mia 5 lakini maafisa jumla yao utawapata 5 tu. Majukumu yaliyopaswa kufanywa na Meja yalikuwa yanafanywa na Kapteni au Luteni kutokana na kukosekana nguvu kazi.

Lakini sasa hili tatizo linapotea taratibu, kila mmoja atakaa kwenye nafasi yake. Wote tunaona jinsi Rais anavyokasimisha mamlaka maafisa wapya kila baada ya muda mfupi, na kuwwpa nafasi wale wengine kusogea vyeo vya juu zaidi.

Ombi: Wakumbuke polisi; polisi kuna mauzauza mengi sana kwenye suala zima la kupandishana vyeo. Polisi askari au afisa anakaa na cheo kimoja miaka mingi mpaka unajiuliza huyu mtu kagombana na IGP!

Kwa wale ambao hawana hata cheo mnawaita constable sijui wanabaki na u-constable mpaka miaka 10.
 
Ombi lako apo nini Afande Mwita
Zamani ukifika kambi ya jeshi maafisa we jeshi ni wakumulika kwa tochi. Kambi kubwa ina askari mia 5 lakini maafisa jumla yao utawapata 5 tu. Majukumu yaliyopaswa kufanywa na Meja yalikuwa yanafanywa na Kapteni au Luteni kutokana na kukosekana nguvu kazi.

Lakini sasa hili tatizo linapotea taratibu, kila mmoja atakaa kwenye nafasi yake. Wote tunaona jinsi Rais anavyokasimisha mamlaka maafisa wapya kila baada ya muda mfupi, na kuwwpa nafasi wale wengine kusogea vyeo vya juu zaidi.

Ombi: Wakumbuke polisi; polisi kuna mauzauza mengi sana kwenye suala zima la kupandishana vyeo. Polisi askari au afisa anakaa na cheo kimoja miaka mingi mpaka unajiuliza huyu mtu kagombana na IGP!

Kwa wale ambao hawana hata cheo mnawaita constable sijui wanabaki na u-constable mpaka miaka 10.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani ukifika kambi ya jeshi maafisa we jeshi ni wakumulika kwa tochi. Kambi kubwa ina askari mia 5 lakini maafisa jumla yao utawapata 5 tu. Majukumu yaliyopaswa kufanywa na Meja yalikuwa yanafanywa na Kapteni au Luteni kutokana na kukosekana nguvu kazi.

Lakini sasa hili tatizo linapotea taratibu, kila mmoja atakaa kwenye nafasi yake. Wote tunaona jinsi Rais anavyokasimisha mamlaka maafisa wapya kila baada ya muda mfupi, na kuwwpa nafasi wale wengine kusogea vyeo vya juu zaidi.

Ombi: Wakumbuke polisi; polisi kuna mauzauza mengi sana kwenye suala zima la kupandishana vyeo. Polisi askari au afisa anakaa na cheo kimoja miaka mingi mpaka unajiuliza huyu mtu kagombana na IGP!

Kwa wale ambao hawana hata cheo mnawaita constable sijui wanabaki na u-constable mpaka miaka 10.
Vipi kijana umeshapata ajira nini jwtz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani ukifika kambi ya jeshi maafisa we jeshi ni wakumulika kwa tochi. Kambi kubwa ina askari mia 5 lakini maafisa jumla yao utawapata 5 tu. Majukumu yaliyopaswa kufanywa na Meja yalikuwa yanafanywa na Kapteni au Luteni kutokana na kukosekana nguvu kazi.

Lakini sasa hili tatizo linapotea taratibu, kila mmoja atakaa kwenye nafasi yake. Wote tunaona jinsi Rais anavyokasimisha mamlaka maafisa wapya kila baada ya muda mfupi, na kuwwpa nafasi wale wengine kusogea vyeo vya juu zaidi.

Ombi: Wakumbuke polisi; polisi kuna mauzauza mengi sana kwenye suala zima la kupandishana vyeo. Polisi askari au afisa anakaa na cheo kimoja miaka mingi mpaka unajiuliza huyu mtu kagombana na IGP!

Kwa wale ambao hawana hata cheo mnawaita constable sijui wanabaki na u-constable mpaka miaka 10.
polisi hampndishwi maana mnakula sana rushwa, just imagine gari zote pale makumbusho zinatoa elf tano tano kwa siku
 
Zamani ukifika kambi ya jeshi maafisa we jeshi ni wakumulika kwa tochi. Kambi kubwa ina askari mia 5 lakini maafisa jumla yao utawapata 5 tu. Majukumu yaliyopaswa kufanywa na Meja yalikuwa yanafanywa na Kapteni au Luteni kutokana na kukosekana nguvu kazi.

Lakini sasa hili tatizo linapotea taratibu, kila mmoja atakaa kwenye nafasi yake. Wote tunaona jinsi Rais anavyokasimisha mamlaka maafisa wapya kila baada ya muda mfupi, na kuwwpa nafasi wale wengine kusogea vyeo vya juu zaidi.

Ombi: Wakumbuke polisi; polisi kuna mauzauza mengi sana kwenye suala zima la kupandishana vyeo. Polisi askari au afisa anakaa na cheo kimoja miaka mingi mpaka unajiuliza huyu mtu kagombana na IGP!

Kwa wale ambao hawana hata cheo mnawaita constable sijui wanabaki na u-constable mpaka miaka 10.
Wana majukumu gani hasa baada ya kupandishwa vyeo? Majeshi Tz wanabembea tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom