Hongera Rais Samia kwa kuendeleza magorofa ya Morocco na Kigamboni

Hongera Rais Samia kwa kuendeleza magorofa ya Morocco na Kigamboni

OK rudi shule kajifunze kuandika

Kama una miaka zaidi ya 18 na Unaandika kama kuku anayetaka kutaga inafikirisha sana kuhusu Taifa letu

Lakini, Yakupasa kuwa na adabu pia,
Kwa Maelezo yako ni dhahiri wewe ni mtoto uliyetekelezwa na familia yako, Baba na Mama hawajakulea kabisa ndio maana neno Mama unalichukia sana

Pole mkuu kuna tiba ya hali yako ya kuchukia neno Mama, Najua hukupenda kuwa hivyo, Kukosa malezi ya wazazi
Ahahahahahaha pole mama
 
Wewe unadhani 33% ya Wall street ni hela kutoka wapi?
Pension funds zinaprovide funding na sio na share kwenye viwanda na daily operations za industry, hujui unaloongea.

Haya tupe mrejesho wa mwenendo wa kiwanda cha mkunazo na miwa, kiwanda cha mabuti wanachoendesha na magereza.
 
Kwa utaratibu huu ninaomba na jengo la gorofa la hoteli ya Nyota Tano ya NSSF ya Kapri Point Mwanza ikamilishwe mapema ianze kuchangia kwenye uchumi. Rais atupie jicho pale inasuasua sana.
Hee kumbe nalo lilikuwa stalled? Daa mwendazake na sera za nssf kulima miwa 😆😆😆😆
 
Morocco pale haikuwa sahihi sana kupiga chini mradi, isipokuwa NHC wapunguze tu gharama za nyumba zao bei iendane na uhalisia wa maisha ya watanzania walau wa kipato cha kati na juu...

Kigamboni, hivi si kuna wakati serikali ilidai itapiga mnada zile nyumba watu binafsi waziendeleze? Isijekuwa mnada umeshafanyika au lah wanaweka mazingira safi kwa ajili ya mnada kufanyika
Bei zilikuwa zinaendana na uchumi uliokuwepo,alafu kama sio size yako si unakacha kwani unalazimishwa?

Ukitaka low houses nenda sekta binafsi au watumishi housing au National housing ila sio nssf.

Kulikuwa na miradi kibao ya uendelezaji wa miji kuanzia Dar hadi mikoani lakini ilikufa,kiufupi mwendazake aliua sekta ya real estates na jamaa walipigwa pin kutafuta pesa iwe kwa kukopa nk
 
Wangewauzia watu binafsi miradi hiyo. Wakisharudisha fedha za pension wawekeze kwenye viwanda.
Ile mieradi ingetoa viwanda vikubwa viwili na kuwapa vijana ajira na hapohapo kutengeneza faida kwenye mifuko ya wastaafu.
Kiwanda cha Mbigiri je
 
Project ya kigamboni ni hasara somehow
Lakini hili la Moroco square ile ilikuwa AIBU unaachaje project kama ile mji lzm upendeze kwa majengo mazuri ya kisasa bana ....
Na jamaa mwenye maghorofa Dege aruhusiwe amalizie
 
Pension funds zinaprovide funding na sio na share kwenye viwanda na daily operations za industry, hujui unaloongea.

Haya tupe mrejesho wa mwenendo wa kiwanda cha mkunazo na miwa, kiwanda cha mabuti wanachoendesha na magereza.
Wewe ndiyo hujui unaloongea, pension funds hazikai kwenye kibubu kama unavyofikiria, zinakuwa invested period!
Popote ambapo pana faida, una-invest. Real estate industry Tanzania ni exaggerrated na inatawaliwa na brokers uchwara, ndiyo maana majengo mengi ya serikali ni hasara tu, faida zinaenda kwa watu binafsi.

Uki-invest in industrialization, unawapa vijana nafasi ya kuajiriwa, unawakata pension na kuwa na revolving fund. Nyumba Tanzania ni mradi ambao umesha-prove failure. Hazina faida na hazitakuwa na faida zaidi ya kutoa hifadhi na kuzidi kujenga tabaka la ma-landlords. ni watu walewale watakaozichukua na kukodisha kwa bei ya juu kupitia madalali.

Kama viwanda vinashindwa kuanza kufanya kazi, fuatilia sababu ni nini na urekebishe. Huo sio mwisho wa kuwekeza kwenye viwanda. Inatakiwa angalau tuwe na 25% tu ya watanzania wanaojishughulisha na kilimo ili tuwe taifa lililoendelea kiuchumi. Siyo asilimia 80% ya watanzania wanalima, tutakuwa underdeveloped for a long time.
 
Hata kama hakijaanza kuzalisha, hiyo haimaanishi kuwa viwanda visijengwe.
Itakuwa dhana potofu kufikiria kuwa kwa sababu kiwanda fulani kimeshindwa kuanza kazi basi viwanda visijengwe.
Sawa vijengwe tena vingi sana hakuna anayekataa lakini kujifunza kutokana na makosa ni muhimu pia. Viwanda vilishakuwepo na vingi vimekufa sasa kama nchi haijifunzi ikakurupuka kujenga vingine itakuwa si sawa maana viwanda vingine vinajengwa kwa pesa za pensioners zikizamia huko pensioners ndio wanaoathirika kwa kutopata pension zao kama wanavyostahili. Kwenye issue ya viwanda sisasa ziachwe utaalam ndiyo uamue. Tuliambiwa hapa na hayati Tanzania itakuwa nchi ya viwanda miaka michache baadae akawa haongelei tena viwanda sanasana akawa anaongelea miradi ya ujenzi tu, Tanzania ghiliba ulaghai wa wanasiasa unaathiri sana nchi kumove kwenda uchumi wa viwanda.
 
Back
Top Bottom