😃😃 Btw, kuna uzi nausoma hapa, mtu kashampinga mama kwa kauli yake ya kujenga soko jangwani. Na kiuhalisia jamaa ameongea point.Sikuwekei, waliniponda,,, LOL
Habari wakuu....
Nimeona huko kwa Millard Ayo, hela zimetengwa kujenga upya Kariakoo ambayo ita accommodate wafanya biashara 2000! ...hii tulishauri hapa kulivyokua na discussion za kuhamisha wamachinga..........
.Kariakoo ni mjini, kituo cha biashara mama Samia ametambua ni vizuri pajengwe vizuri, pawe modernized...... katika solutions zote zilizokua suggested kaiona hio ya kujenga vizuri ndio liko sustainable(Becky hoyee[emoji108][emoji3516][emoji123])....wanaJF hii ni prove tosha anatusoma humu hivyo tutoe threads za kujenga...ni msikivu ndio maana anachukua ushauri bwana yule hakua hivi.....
Cc; KeyserSoze
Jamaa Katoa point Sana , eneo la jangwani ni hatari Sana , kama mvua ikinyesha siku Saba mfululizo , na upepo baharini ukachange kidogo mtazika mizoga ya kutosha Tu , na upotevu mkubwa wa bidhaa...kuligeuza hlo eneo lifae na Liwe salama Kwa machinga , hela zake sio za kitoto...!!Badala ya machinga kuwekwa kwenye mkondo wa maji Jangwani serikali ifanye yafuatayo
Kama tunawaza sawa sawa na Kama miradi tunayojenga tunatambua thamani yake naamini leo tusingesikia kauli ya Rais kujenga soko Jangwani. Haya ni matumizi mabaya ya fedha. Uwepo wa machinga Karikoo unapaswa kufanyia utafiti na siyo kufanya- siasa. Koko bearch Kuna sunami, Jangwani Kuna mkondo wa...www.jamiiforums.com
Soko kuu la Kariakoo atachukua mvimba macho! Mark my words!CCM bana.. mmeunguza soko makusudi ili mjifanye mnaliboresha halafu muweke watu wenu!
Nani kakuambia bwana yule hakuwa anasikiliza maoni ya humu Jamii Forums? Asilimia kubwa ya maamuzi ya serikalini kwa sasa yanasadifu maoni ya wadau humu Jamii Forums huenda wewe hutembelei forums nyingi humu but huyo bwana unayesema ww aliyafanyia kazi maoni mengi humu JF mpk tukawa tunahisi naye yupo humu.Habari wakuu....
Nimeona huko kwa Millard Ayo, hela zimetengwa kujenga upya Kariakoo ambayo ita accommodate wafanya biashara 2000! ...hii tulishauri hapa kulivyokua na discussion za kuhamisha wamachinga..........
.Kariakoo ni mjini, kituo cha biashara mama Samia ametambua ni vizuri pajengwe vizuri, pawe modernized...... katika solutions zote zilizokua suggested kaiona hio ya kujenga vizuri ndio liko sustainable(Becky hoyee[emoji108][emoji3516][emoji123])....wanaJF hii ni prove tosha anatusoma humu hivyo tutoe threads za kujenga...ni msikivu ndio maana anachukua ushauri bwana yule hakua hivi.....
Cc; KeyserSoze
Soko kuu la Kariakoo atachukua mvimba macho! Mark my words!
kizungu hapo kidogo kuna walakini lkn never mind....prove
Halafu kuchwa kutwa wanawekeza mjini tu sisi huku Utombi tukiendelea kunywa maji ya tope...CCM bana.. mmeunguza soko makusudi ili mjifanye mnaliboresha halafu muweke watu wenu!
Kama ninavyowaza mkuu.CCM bana.. mmeunguza soko makusudi ili mjifanye mnaliboresha halafu muweke watu wenu!