Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kwa Kupokea Shahada ya Heshima nchini India, Unastahili "NOBEL

Hongera Dr Dr Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT. Kazi iendelee.
Watanzania watakukumbuka zaidi na daima ukiwasaidia kupata katiba bora kitu ambacho watangulizi wako wote watano walishindwa.

Mbona Nyerere alileta Katiba Mpya ya 1977
 
Kila
Zawadi ina gharama yake
 
Pole zero [emoji3447] anapopokea shahada ndo kituko cha mwaka
 
Kutokana na kutunukiwa udaktari wa heshima na vyuo mbalimbali kwa sababu na vigezo vijuavyo hadi akaitwa Daktari, napendekeza mbeba maono na mtukufu rais Samia Suluhu Hassan, kwa alivyo mkakamavu na anavyopendeza akivaa magwanda atunukiwe cheo cha Field Marshal na majeshi yetu. Ikiwapendekeza, makanisa tokana na kufanya miujiza kama alivyosema Emmanuel Nchimbi, yamteua kuwa mtakatifu huku misikiti, tokana na kubeba maone impe uimamu kama siyo usheha. Kila idara lazima imtunuku ukuu ili aendelee kufanya maajabu hasa ya kiuchumi. Pia, viumbe wote wamtambue kama ilivyokuwa kwa Idi Amin Lady of all beasts. Wanangu, naomba kuwasilisha.

 
Aende mstari wa mbele DRC hata kwa masaa 2 ndipo atunukiwe
 
Kama chawa walimpa fundi rangi john okello, sisi nani tumpinge chura



 
hahaha wahindi wanatafuta fulsa sana, Mtu aliyewahi kufika India,au bangaldesh atakwambia wale watu ni wengi halafu maisha duni, wanatafuta pa kupulia. Waangalieni wanavyokula raha nchi hii, kwanini wasimpe heshima SSH?
 
VIJANA WENGI NI HASARA YA TAIFA , UKIWEMO WEWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…