Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Siku ukiona watu wanazuiwa kuingia lodge na hotelini na makahaba ndipo nitakuwa muongoKwamba wanafukuzwa sababu hawalipi Kodi?
Ukilipa Kodi unaruhusiwa kufanya ukahaba?
Acha upotoshaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukiona watu wanazuiwa kuingia lodge na hotelini na makahaba ndipo nitakuwa muongoKwamba wanafukuzwa sababu hawalipi Kodi?
Ukilipa Kodi unaruhusiwa kufanya ukahaba?
Acha upotoshaji.
Hata bomoa bomoa iliyofanya na kipara enzi zile, ilipita uswahilini mabondeni, ilipofikia kwenye nyumba ya kada Mama Rwakatare mahehemu, zoezi likaishia hapo!!Ukiwa masikini una hasara nyingi sana
Una HOJA.Siku ukiona watu wanazuiwa kuingia lodge na hotelini na makahaba ndipo nitakuwa muongo
Hapana nawewe hata kukugegeda wewe usihofu demuVp nawe ni mteja wa hao walofukuzwa?
Penye Kweli lazima usemwe UKWELI ulivyo, pa kukosoa tunakosoa.