Hongera sana CCM kwa mchakato wa kura za maoni

Hongera sana CCM kwa mchakato wa kura za maoni

Baambie bamutu.

Hawa ile nadharia ya some swali, elewa swali, jibu swali imewapita mbali.

Wanalisha watu maneno. Binafsi ninachukia rushwa kwa vitendo. Rushwa ni adui wa haki.

Tumesema hapa kuwa "kuna changamoto ndigot za MADAI ya rushwa" hawaelewi hata maana ya madai. Wenyewe wsmeshafanya hitimisho.

Ushauri wangu wote walioona, kusikia au kuhisi vitendo cua rushwa kwenye mchakato wa kura za maobiy, tafadhali watoe taarifa sehemu husika badala ya kulalamika mitandaoni.

Hatua zifuatazo zinalishughulikia hilo na wote watakaobanika, hakika kufyekwa watafyekwa
Weka ushahidi hapa wa asilimia hiyo 90% kuwa kura za maoni ziligubikwa na rushwa.

Kama mgombea wako hakupata kura ulizozitaka haimaanishi hakubaliki bali alibugi kwenye ushawishi.

Jambo lingine ni kwamba mchakato ulikuwa wa uwazi na bado taratibu za kupata wagombea zinaendelea
 
CCM NYIE NI BURE KABISA. LEO ZAIDI YA MIAKA 50 TUMEWAPA NAFASI YA KUTAWALA ILI MTUONDOE KWENYE UJINGA, MARADHI NA UMASKINI LAKINI WEWE BADO UNAFURAHIA UWEPO WA MAFUKARA WANAOHANGAIKA KUGOMBEA UONGOZI NDANI YA NCHI KUPITIA CHAMA CHAKO!

KWA HIYO WEWE UNAPOONA MAFUKARA WAKUMIMINIKA MAJIMBONI KUSAKA UONGOZI UNAFURAHI? WACHAWI WAKUBWA NYIE CCM
 
Weka ushahidi hapa wa asilimia hiyo 90% kuwa kura za maoni ziligubikwa na rushwa.

Kama mgombea wako hakupata kura ulizozitaka haimaanishi hakubaliki bali alibugi kwenye ushawishi.

Jambo lingine ni kwamba mchakato ulikuwa wa uwazi na bado taratibu za kupata wagombea zinaendelea
Ushaidi baada ya matokeo baadhi ya wagombea wanadondoka ukumbini kwa kura kuto tosha angalia uwt viti maalumu ni hatari! Wanafikiria gharama, mwingine Stive Nyerere, anasema ubwabwa wamekula kura sita! Unataka zaidi?
 
Ndugu zangu, salamu.

Napenda kuchukua fursa hii kukishukuru chama changu kwa kuendesha vizuri mchakato wa kura za maoni kwa ngazi ya majimbo na viti maalumu. Ni imani yangu kuwa michakato mingine itaendelea vyema kwa ngazi zinazofuatia.

Ninajua zipo changamoto ndogondogo za madai ya rushwa, ukiukwaji wa taratibu n.k ila kwa leo sio lengo langu kujadili changamoto hizo. Itoshe kusema kuwa CCM imejiwekea utaratibu mzuri wa kushughulikia changamoto hizo na ndio maana mchakato utaenda mpaka ngazi ya taifa. Hongera sana CCM.

Sisi wote ni mashahidi wa utitiri wa watia nia ya ubunge kwa tiketi ya CCM. Ona mafukara, matajiri, wasanii, wasomi na wasio wasomi ukimiminika majimboni. Wavivu wa kufikiri wanaweza kumchukulia kirahisi, wenyewe wanasema poa hali hi ila kwa watu werevu hili ni jambo fikirishi. Usione vyaelea, vimeundwa.

CCM ipo, itaendelea kuwepo na kushinda chaguzi kwasababu ni chama kilichopo mioyoni mwa watanzania. Hi ni kwasababu moja tuu, CCM ni chama kinachojifanyia tathimini na kukumbatia mabadiliko chanya kutokana na wakati.

Ilikuwa vigumu sana hapa juzi Kati kwa mwanaCCM wa kawaida, asiye na pesa kupata fomu na kutia nia ya ubunge. CCM ikakaa na kutathimini, ikaja na utaratibu wa sasa na motokeo tumeyaona. CCM imeonesha kuwa inapendwa na makundi yote. Wakati Kuna vyama vinatafuta wagombea, hali ni tofauti kwa CCM. Makumi kwa mamia walijitokeza.

Hi sio bahati mbaya, uongozi mzuri umeleta haya. Hongera mwenyekiti wa CCM taifa na Rais wa JMT Dr. ndugu John Magufuli na viongozi wote akiwemo mzee Mangula, komredi Dr Bashiru, ndugu Polepole, ndugu Heri n.k. CCM imeimarika zaidi katika uongozi wenu.

Tunawatakia heri na fanaka katika kazi iliyo mbele yenu. Tutashiriki kwa hali na mali katika kampeni na kuhakikisha CCM sio tuu inapata ushindi bali inapata ushindi wa kishindo kizito.

Vijana, wazee na akina mama ambao sio wanaCCM, karibuni CCM, karibuni sehemu salama

#tukutanekwenyekampeni
Hakuna mchakato wa kura za maoni ulijaa rushwa kama wa mwaka huu, ni aibu ya vizazi vyote.
 
CCM NYIE NI BURE KABISA. LEO ZAIDI YA MIAKA 50 TUMEWAPA NAFASI YA KUTAWALA ILI MTUONDOE KWENYE UJINGA, MARADHI NA UMASKINI LAKINI WEWE BADO UNAFURAHIA UWEPO WA MAFUKARA WANAOHANGAIKA KUGOMBEA UONGOZI NDANI YA NCHI KUPITIA CHAMA CHAKO!

KWA HIYO WEWE UNAPOONA MAFUKARA WAKUMIMINIKA MAJIMBONI KUSAKA UONGOZI UNAFURAHI? WACHAWI WAKUBWA NYIE CCM
Huwezi kumaliza matatizo yako kwa kujiaminisha kuwa hayapo.

Ukweli ni kuwa mafukara wa kipato wapo I'll serikali imejitahidi na inaendelea na jitihada za kupunguza pengo la walio nacho na wasio nacho

Kutokana na utaratibu mzuri, tumeona kundi hili likishiriki sana kipindi hiki. Changamoto ni kitu cha kawaida. Muhimu ni kushughulikia changamoto hizo
 
Back
Top Bottom