Hongera sana DC wa Muheza, TRA wanajifanya miungu watu

Hongera sana DC wa Muheza, TRA wanajifanya miungu watu

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Kwa mara ya kwanza maishani Leo nampongeza kiongozi kutoka CCM yaani DC wa Muheza.

Amejitofautisha Sana na viongozi wenzake kwenye masuala ya msingi.

Amekemea uongozi wa TrRA wilaya Kwa jinsi wanayovyofanya maonevu na kuwadharau wateja na jeuri juu.

Naomba tumsikilize na tujaribu kuwajadili hawa TRA kwa jumla wao.

 
Kwa mara ya kwanza maishani Leo nampongeza kiongozi kutoka ccm yaani DC wa muheza.

Amejitofautisha Sana na viongozi wenzake kwenye masuala ya msingi.


Amekemea uongozi wa Tra wilaya Kwa jinsi wanayo fanya maonevu na kuwqdhqru wateja na jeuri juu.

Naomba tumsikilize na tujaribu kuwajadili hawa Tra kwa jumla wao.
Huyu mama sijui kama atabakia kwenye kiti chake
 
Back
Top Bottom