Hongera sana DC wa Muheza, TRA wanajifanya miungu watu

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Kwa mara ya kwanza maishani Leo nampongeza kiongozi kutoka CCM yaani DC wa Muheza.

Amejitofautisha Sana na viongozi wenzake kwenye masuala ya msingi.

Amekemea uongozi wa TrRA wilaya Kwa jinsi wanayovyofanya maonevu na kuwadharau wateja na jeuri juu.

Naomba tumsikilize na tujaribu kuwajadili hawa TRA kwa jumla wao.

Your browser is not able to display this video.
 
Huyu mama sijui kama atabakia kwenye kiti chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…