Hongera sana Diamond, kwa live band hii umeleta kitu kipya


Nakumbuka show kama hyo aliwah kuipga nchini burundi...........

Nadhan wale wakuonge ovyo watakuw wamejfunza kitu jamaa anafanya vitu vikubwa sana...............

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Nakumbuka show kama hyo aliwah kuipga nchini burundi...........

Nadhan wale wakuonge ovyo watakuw wamejfunza kitu jamaa anafanya vitu vikubwa sana...............

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
Diamond ni mtu wa kujipanga hafanyi kazi kwa kulipua
 
Awali ya yote nampa hongera sana kwa kazi nzuri ingawa sijabahitika kuiona hiyo show,hongera sana bila shaka ilipendeza sana..
Wewe mama bhoke embu rete rigaroni la rungu hapo nijipongeze kwa rikazi murua la mwanetu wa dirasalama
 
Nakumbuka show kama hyo aliwah kuipga nchini burundi...........

Nadhan wale wakuonge ovyo watakuw wamejfunza kitu jamaa anafanya vitu vikubwa sana...............

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
akina nan ao wataje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…