Hongera Sana FaizaFoxy, Mshindi wa U-miss JF 2023/2024

FaizaFoxy usikubali kupakwa mafuta na mgongo wa picha.
 
Nasubiri uingie kwenye Nuru ya Allah.

Nafahamu ukweli unaujuwa lakini shetani kakushika.

Hizi siku zipo zilishatabiriwa, Wakristo wanaacha njia ya kweli na kujiunga kwenye hayo mavitu ya motoni, yaani kunao wanajiunga freemason, uislamu, illuminati na hata ushoga.

Watakaovumilia hadi mwisho ndio wataokoka.
 
Hizi siku zipo zilishatabiriwa, Wakristo wanaacha njia ya kweli na kujiunga kwenye hayo mavitu ya motoni, yaani kunao wanajiunga freemason, uislamu, illuminati na hata ushoga.

Watakaovumilia hadi mwisho ndio wataokoka.
Waafika bwana, mnapambana wenyewe kwa wenyewe kisa dini iliyoletwa na mwarabu na mzungu.
 
Yaani hizo comments zingine imebaki nicheke tu.

Maana mshindi halafu nikasirike tena?

Bado "hamjasema".
Yaani ungepunguza udini kidogo, wewe ni bonge la mtu kwa madini uliyonayo
 
So sorry, you guessed it right. should be chupa.
Andika tu kiswahili mkuu sasa YOU GUESSED IT RIGHT unamaanisha nini tena, hapo hajaguess chochote bali amekusahihisha tu.
 
Bibi kwenye ule uzi wako wa kutongozwa ulipata mtu?
 
Sikubali kwa tuzo hii aliyoipata FaizaFoxy, toka lini gaidi anathaminiwa duniani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…