Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Hahaa.. mimi mwanzo nilimpa kalpana hapa mwishoni kabisa baada ya kuona mtanange mkali kati ya wawili wa mwanzo nikachangeHongera Bi Faiza japo sijakupigia kura.
vote nikamuongezeaa Faiza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa.. mimi mwanzo nilimpa kalpana hapa mwishoni kabisa baada ya kuona mtanange mkali kati ya wawili wa mwanzo nikachangeHongera Bi Faiza japo sijakupigia kura.
Hahahah umenichekesha, umechange ili uwe kwenye timu ushindi? 😆Hahaa.. mimi mwanzo nilimpa kalpana hapa mwishoni kabisa baada ya kuona mtanange mkali kati ya wawili wa mwanzo nikachange
vote nikamuongezeaa Faiza!
Hapana.. Niliona nilompa hatoboi nikabadili gia fastaaa😂!Hahahah umenichekesha, umechange ili uwe kwenye timu ushindi? 😆
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun.Hongera kwa dada yangu FaizaFoxy.
Binafsi ni miongoni mwa waliompigia kura licha ya kupishana mitazamo.
Namfahamu Faiza ni mrembo chotara mmoja wa haja licha ya umri kumtupa mkono.
FaizaFoxy, umepata habari Mhando kumbe alifariki miezi kadhaa nyuma mwaka huu na mwili uliletwa toka US. Mara ya mwisho uliuliza nikakueleza yu Canada. Alale pema peponi Mhando!
Ndio, nilishiriki mama.Sidhani kama ni hujuma. Wewe ulishiriki kwenye kupiga kura?
Ahsanteni sana mliopendekeza jina langu na mwisho wa siku kulichaguwa.
Kiislam haturuhusiwi kujitokeza kwenye uchaguzi wowote na ndicho nilichokifanya. Sikuomba mtu anichaguwe wala sijatia langu kuhamasisha yeyote.
Ahsanteni sana wote.
Nnau dedicate ushindi huu kwa watoto wote wanaouliwa Palestina. Hao ndiyo mashujaa wa kweli.
Kama ushindi huu unaambatana na zawadi yeyote basi waandaaji wapeleke zawadi kituo chochote cha kujifungulia kina mama na mtoto mchanga wataemkuta kwanza kwenye kituo wampe hiyo zawadi yote. Kwa upendo na furaha na kuwaenzi watoto wasio na hatia bila kujali rangi, kabila wala imani ya wazazi wake.
Ahsanteni sana, nawatakia heri ya mwaka mpya na nawapenda wote.
Allahu Akbar.
Hamas wanaruhusiwa kushindana umiss kweli?
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.Mngeweka wanawake wote halafu ndio museme hivyoo mumeweka baadhi so nimiss wa wale uliowaweka pekee yao
Aha ila kujibu vituko kama hivi unajibu,ila kujibu ili utoe msaada hujibuUmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Nisameh sana, sijaona. Siyo kawaida yangu kutokujibu.Aha ila kujibu vituko kama hivi unajibu,ila kujibu ili utoe msaada hujibu
Allahu Akbar pia (japo sijaelewa maana yake [emoji23][emoji23][emoji23]).Ahsanteni sana, nawatakia heri ya mwaka mpya na nawapenda wote.
Allahu Akbar.