Pre GE2025 Hongera sana Fr. Dk. Charles Kitima kwa kutoa elimu ya Uraia kwa waumini kuelekea uchaguzi

Pre GE2025 Hongera sana Fr. Dk. Charles Kitima kwa kutoa elimu ya Uraia kwa waumini kuelekea uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Nakupongeza sana Fr. Kitima kwa kutoa Elimu ya Uraia kwa Waamini wako. Waamini wengi hawajihusishi na Siasa kwa kudhani kwamba ni dhambi, kumbe sivyo.

Tunapoelekea kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi Mkuu mwakani, Elimu hii inapaswa kutolewa na viongozi wote wa Dini katika nyumba zao za Ibada.

Nimepita kule X, nikakutana na mtu mmoja anasema eti, kitendo cha Fr. Dk. Kitima kutoa Elimu ya Uraia ni uhaini, nikajua tu kwamba huyu ni MPUMBAVU kama walivyo WAPUMBAVU wenzie tu.

Tangu lini kutoa Elimu ya Uraia ikawa uhaini? Lakini ni Sheria ipi inasema kutoa Elimu ya Uraia ni uhaini?

Nasisitiza, Viongozi wa Makanisa na Misikiti yote wanapaswa kutoa Elimu hii ya Uraia kwa juhudi zote.

Mimi naamini, kupitia Elimu hii ya Uraia, tutaweza kupata Wagombea na Wasimamizi wa uchaguzi walio bora zaidi.

Nawasilisha.
 
Naunga mkono hoja, ila viongozi hawa waelimishe tuu na kuhamasisha na sio kuwapangia waumini wao chama cha kukichagua au kiongozi wa kumchagua kama alivyofanya Bulldozer Mwamposa na Afkofu Dr. Fredrick Shoo.

Father Kitima always yuko vizuri.
 
Naunga mkono hoja, ila viongozi hawa waelimishe tuu na kuhamasisha na sio kuwapangia waumini wao chama cha kukichagua au kiongozi wa kumchagua kama alivyofanya Bulldozer Mwamposa na Afkofu Dr. Fredrick Shoo.

Father Kitima always yuko vizuri.
Alikuwa anasisitiza 'hii Nchi sio ya mtu mmoja'

Ulimuelewa vizuri hapo lakini? Maana kila kitu kinaanza mtu na kila mtu akisimama akiongea anaanza mtu Asante mtu kwa hivi na vile Asante mtu kwa hivi na vile

Sasa akasema 'hii Nchi sio ya mtu mmoja'
 
Nakupongeza sana Fr. Kitima kwa kutoa Elimu ya Uraia kwa Waamini wako. Waamini wengi hawajihusishi na Siasa kwa kudhani kwamba ni dhambi, kumbe sivyo.

Tunapoelekea kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi Mkuu mwakani, Elimu hii inapaswa kutolewa na viongozi wote wa Dini katika nyumba zao za Ibada.

Nimepita kule X, nikakutana na mtu mmoja anasema eti, kitendo cha Fr. Dk. Kitima kutoa Elimu ya Uraia ni uhaini, nikajua tu kwamba huyu ni MPUMBAVU kama walivyo WAPUMBAVU wenzie tu.

Tangu lini kutoa Elimu ya Uraia ikawa uhaini? Lakini ni Sheria ipi inasema kutoa Elimu ya Uraia ni uhaini?

Nasisitiza, Viongozi wa Makanisa na Misikiti yote wanapaswa kutoa Elimu hii ya Uraia kwa juhudi zote.

Mimi naamini, kupitia Elimu hii ya Uraia, tutaweza kupata Wagombea na Wasimamizi wa uchaguzi walio bora zaidi.

Nawasilisha.
Yani huyo kuku, Elimu ya URAIA analinganisha na UHAINI??? Kuna watu hapa Tanzania ni afadhali akili ya panzi.
 
Alikuwa anasisitiza 'hii Nchi sio ya mtu mmoja'

Ulimuelewa vizuri hapo lakini? Maana kila kitu kinaanza mtu na kila mtu akisimama akiongea anaanza mtu Asante mtu kwa hivi na vile Asante mtu kwa hivi na vile

Sasa akasema 'hii Nchi sio ya mtu mmoja'
TANZANIA ni ya Watanzania wote
Wananchi wawajibike Kwa nchi Yao, wasimwachie mtu mmoja au kundi la watu
 
Nakupongeza sana Fr. Kitima kwa kutoa Elimu ya Uraia kwa Waamini wako. Waamini wengi hawajihusishi na Siasa kwa kudhani kwamba ni dhambi, kumbe sivyo.

Tunapoelekea kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi Mkuu mwakani, Elimu hii inapaswa kutolewa na viongozi wote wa Dini katika nyumba zao za Ibada.

Nimepita kule X, nikakutana na mtu mmoja anasema eti, kitendo cha Fr. Dk. Kitima kutoa Elimu ya Uraia ni uhaini, nikajua tu kwamba huyu ni MPUMBAVU kama walivyo WAPUMBAVU wenzie tu.

Tangu lini kutoa Elimu ya Uraia ikawa uhaini? Lakini ni Sheria ipi inasema kutoa Elimu ya Uraia ni uhaini?

Nasisitiza, Viongozi wa Makanisa na Misikiti yote wanapaswa kutoa Elimu hii ya Uraia kwa juhudi zote.

Mimi naamini, kupitia Elimu hii ya Uraia, tutaweza kupata Wagombea na Wasimamizi wa uchaguzi walio bora zaidi.

Nawasilisha.
Hongera nyingi kwa mtaalamu Dr.Kitima.
 
Naunga mkono hoja, ila viongozi hawa waelimishe tuu na kuhamasisha na sio kuwapangia waumini wao chama cha kukichagua au kiongozi wa kumchagua kama alivyofanya Bulldozer Mwamposa na Afkofu Dr. Fredrick Shoo.

Father Kitima always yuko vizuri.
Ni kweli kabisa, Kiongozi wa Dini hatakiwi kuwaelekeza waumini wake kuwa wamchague nani wa chama gani?
Anatakiwa zaidi kuelezea haki za raia na sifa za Kiongozi Bora.
 
Back
Top Bottom