Freeman Mbowe ni matunda ya harakati za mapambano dhidi ya dhuluma, uonevu na ukoloni. Amerithi hulka ya mapambano ya kudai haki za wananchi wenzake kwa baba yake Aikaeli Mbowe aliyekuwa mwana Afrika shupavu na mpigania uhuru hodari. Freeman (Uhuru) alizaliwa katika miaka ile ambapo watanganyika akiwepo baba yake walikuwa wanapigania uhuru wa Tanganyika.
Tunamshukuru mwanamapinduzi huyu hodari kwa umahiri wake wa kuongoza mapambano dhidi ya dhuluma katika nyakati zetu chini ya wakoloni weusi. Hongera sana Freeman Mbowe kwa kuirudisha Tanzania katika siasa za vyama vya upinzani, hakika wewe ni baba namba 2 wa Taifa letu!
Tunamshukuru mwanamapinduzi huyu hodari kwa umahiri wake wa kuongoza mapambano dhidi ya dhuluma katika nyakati zetu chini ya wakoloni weusi. Hongera sana Freeman Mbowe kwa kuirudisha Tanzania katika siasa za vyama vya upinzani, hakika wewe ni baba namba 2 wa Taifa letu!