Sasa nyie mkipewa nchi Lumumba si cha mtoto kwa uchawa? Nimeona mnaparurana na ACT kugombea sifa aliyefanya Samia aruhusu mikutano.
Hatuna vyama nchi hii. Mifumo iwe makini, hivi vyama vikienda hivi raia wataanza kubuni njia mbadala za kujitetea.
Sent from my SM-A315F using
JamiiForums mobile app