Hongera sana homeboy kwa kumleta Flora (Mbasha) Henry nyumbani

Status
Not open for further replies.
Hivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
soma hili andiko hili ( Mathew 19:3-12).Amemalizia kwa kusema awezae kupokea neno hili na apokee.Hivo inahitaj neema ya Mungu kuish ktk neno lake.Ingawa najua si vema kufanya hayo.
 
Unatumia nguvu nyingi sana kwenye hii post. Kaweke pingamizi mkuu
inaelekea mnapenda sana wake za watu
sasa nikaweke pingamizi kwani huyo mke wangu
.
halafu sijaona hizo nguvu nyingi nilizotumia
 
Umeelezea vyema sana with evidence
kambagasa pitia hapa utajifunza kitu
 
hapo kama mke au mume amefariki kwa mujibu wa neno la Mungu ambayo kwetu sisi wakristo ndio sheria yetu yakutuongoza ni kuwa anaruhusiwa kuolewa tena 1korintho 7:39 anasema mwanamke hufungwa maadamu mumewe yu hai lakini ikiwa mumewe amefariki yu huru kuolewa na mtu yeyote amtakaye;katika Bwana angalizo katika Bwana.
 
Hivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
hilo itabidi tumuulize mch. Gwajima jpili, atueleze ndoa ya E. Mbasha itakuwa halali?
 
Ni utafiti ambao sijauthibitisha; Kwa mwanamke, ukiachika kwenye ndoa yako ya kwanza, hilo ni doa hata kwa jiki halitoki, na uwe na uhakika wa kustrugle sana na ndoa zifuatazo. Too bad, kama mulifikia hatua ya kuwa na mtoto na mume wa kwanza.

Otherwise, all the best Flora wa Mbasha
 
Ndoa inasiri kubwa sana hatuwezi kujua ni nini kilikuwa tatizo hadi madame akaona hawezi kuvumilia. Mimi namtakia maisha mema ya ndoa mpya
 
Wamisionari na waarabu walituweza kweli
Ng'wanapagi, ubebe unkhe wako uliojaniwa naling'wana ukuyega??? Flora ni kama anajitutumua tu lakini ukweli utakuja kuuona mbeleni, na kitu kibaya sana in this life ni kuonja kipawa cha roho mtakatifu then uka-backslide na usitake kabisa kurudia nafasi ya maisha wokovu, ila yawezakuwa ni certain curse maana nimewahi sikia hata mother-in-law wetu naye alikimbiaga mume wake akaenda kuslimu na akaolewa na mwislamu kabisa ili hali husband alikuwa mchungaji kabisa kabisa tena wa kanisa la kiroho, ila maisha ya duniani yana maswali mengi lakini majibu hakuna. Kutoka kuimbiana nyimbo kwenye tv mpaka kuwa public enemies, Ng'wanapagi nalumilaga sana mu moyo gwane!!!!
 
Hivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
Nijuavyo mm ni labda iwe kwa habari ya zinaa ndo waweza toa talaka na ukaruhusiwa kuoa,sijui labda sasa hivi sheria zimebadilika
 
Marriage life is so hard to define especially if ur not the one participating the game, I thnk it's not a real time to judge and blame Flora for her decision. Let us look back to our side if real 100% we are complete.
it doesnt matter how tough the marriage is we need to settle our differences in a Godly way as we know God.Being remarried doesnt guarantee you find an angel to live with and you manage to escape the devil at first place no and big no all make mistake couse we are humans.So she isnt in a position to have an excuse to get married.She might be in that relation b4 and thats why she is conviced to do so.So i find her like a trouble maker.And that spirit of remarry will never let her go bt it will end tormenting her in her entire life unless she repent.
 
Kama una ushahidi wa uzinzi unaruhusiwa
Mungu abarki tu! Ila kw uzinzi inaruhusiwa kutengana na haitenganishwi na mahakama. Ndiyo maana Kanisa Katoliki lina mfumo bora zaidi juu ya ndoa. Haya yetu, unaweza kuoa na kuacha kesho, ukaoa tena. Kama kanisa halikuitenganisha hiyo ndoa ya awali, hapa bado hakuna ndoa, ila kuna uzinzi unaobarikiwa na makanisa ya wajuaji wa sasa
 
Mkuu pitia hapa Mathew 19:3-12
cc Clara Daud
Mathayo 19

9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.

Labda utufafanulie unaelewa nini maana ya neno uasherati
 
Nijuavyo mm ni labda iwe kwa habari ya zinaa ndo waweza toa talaka na ukaruhusiwa kuona,sijui labda sasa hivi sheria zimebadilika
Si kweli na hakuna kifungu hicho
 
Mmmh frola aone aibu sasa jaman,ndoa ya kwanza watu walichangia(kaivunja mwenyewe)

Na hii ya pili anataka michango aisee
 
Si kweli na hakuna kifungu hicho
Utofauti wa maoni juu ya talaka na kuoa tena unatokana na maneno ya Yesu katika Mathayo 5:32 na 19:9. “isipokuwa kwa habari za uasherati” ndicho kipengele peke yake ambacho Mungu anatoa ruhusa ya talaka na kuoa tena katika maandiko.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…