Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakifanya mema watapongezwa, wakivurundwa watapewa vidonge vyao. Hiyo ndiyo inatakiwa sio kila kitu kupiga makofi hata wakikosea.Wanafurahisha sana hawa jamaa, siku si nyingi utawasikia wakiitukana ITV humu, mark my words!
Ukishaona hivyo ujue tumbo ndio tatizo na sio uzalendo. Yupo kimaslahi zaidi.Ayoub Ryoba ni mshikaji wetu zamani zile, tukipata moja Moto moja baridi pale bar ya Maryland Mwenge, alikuwa critic sana kwa serikali namshangaa alipoteuliwa amepiga dramatic u turn, siyo mwenzetu tena.
Huyo ukabila kwake ndio kipaumbele cha kwanzaBrother, umepatwa na nini siku hizi ndugu? OK naheshimu maoni yako.
Jamaa tangu aanze kupakatwa huko ughaibuni akili yake imevurugika kabisa.Brother, umepatwa na nini siku hizi ndugu? OK naheshimu maoni yako.
Njaa hunena na shibe huongeaAyoub Ryoba ni mshikaji wetu zamani zile, tukipata moja Moto moja baridi pale bar ya Maryland Mwenge, alikuwa critic sana kwa serikali namshangaa alipoteuliwa amepiga dramatic u turn, siyo mwenzetu tena.
Wajumbe wanakusalimia.Naunga mkono hoja
P
Nimezipokea salamu zao kwa moyo mkunjufu, kwa furaha, cheko na bashasha teleWajumbe wanakusalimia.
Hakika. Ni matumizi mabaya kabisa ya kodi zetu wananchi wa Jamhuri hii. Inasikitisha sana,TBC ni moja kati ya TV za umma za hovyo kabisa kupata kutokea duniani
Wanapewa maelekezo na CCMTBC ni moja kati ya TV za umma za hovyo kabisa kupata kutokea duniani
TBC ni ya kufumuliwa.NEC pia ni ya kufumuliwa.Idara nyingi ni za kufumuliwa tena.Itisha mgomo.
HahahahhahaWanafurahisha sana hawa jamaa, siku si nyingi utawasikia wakiitukana ITV humu, mark my words!
Malaya wa aina hiyo nani atawaamini tena.Kaka, Kiafrika Afrika wanasema unapokula hutakiwi kuongea, kwa sababu kinywa chako kinakua kimejaa msosi. Utaongeaje kwa mfano? This theory applies to Ryoba, Kitila Mkumbo, Katambi, Kafulila nk. Walipopata nafasi ya kula keki ya taifa wakasahau kwamba walikuwa critics wa serikali.