Hongera sana JPM Freebasics inatutoa

Hongera sana JPM Freebasics inatutoa

Jasusi Mbobezi

Senior Member
Joined
May 17, 2020
Posts
195
Reaction score
851
Kwa moyo wadhati kabisa naipongeza awamu ya 5 kwa kuruhusu huduma ya Freebasics kupatikana hapa nchini kwani inatuwezesha kuingia JamiiForums bure na kutumia tovuti nyingine kama Facebook, BBC Swahili, Shule direct bure kabisa.
Ingewezekana kabisa serikali kuzuia huduma hiyo, lakini kwakuwa inajali wananchi imeruhusu nasi tunatumia bure.

Mwisho niwape pole wafuasi wa Mfalme wa gambe kwa kuzidi kupoteza wabunge.

Ahsanteni
 
Freebasics ndio nini? Elezea ..
Kwa moyo wadhati kabisa naipongeza awamu ya 5 kwa kuruhusu huduma ya Freebasics kupatikana hapa nchini kwani inatuwezesha kuingia JamiiForums bure na kutumia tovuti nyingine kama Facebook, BBC Swahili, Shule direct bure kabisa.
Ingewezekana kabisa serikali kuzuia huduma hiyo, lakini kwakuwa inajali wananchi imeruhusu nasi tunatumia bure.

Mwisho niwape pole wafuasi wa Mfalme wa gambe kwa kuzidi kupoteza wabunge.

Ahsanteni
IMG-20200615-WA0021.jpeg
 
Nashukuru sana awamu ya 5,maana huku nilipo kwa sasa tunapata usiku maana kabla ya awamu hii kulikua ni jua linawaka masaa 24.
 
Kwa moyo wadhati kabisa naipongeza awamu ya 5 kwa kuruhusu huduma ya Freebasics kupatikana hapa nchini kwani inatuwezesha kuingia JamiiForums bure na kutumia tovuti nyingine kama Facebook, BBC Swahili, Shule direct bure kabisa.
Ingewezekana kabisa serikali kuzuia huduma hiyo, lakini kwakuwa inajali wananchi imeruhusu nasi tunatumia bure.

Mwisho niwape pole wafuasi wa Mfalme wa gambe kwa kuzidi kupoteza wabunge.

Ahsanteni
Hivi vijimambo vilikuwepo sana kwa kikwete, hebu mpe pongezi zake kikwete, kwanza una miaka mingapi unapenda vitu vya bure bure fanya kazi dogo uachane na mambo ya misamaha ya serikali
 
Na katika awamu hii imeachwa, halafu unasikia watu wanalalamika Uhuru wa kutoa maoni wakati huo anatumia freebasics

Sawasawa kabisa,ndio maana Kangi Lugola aliita lile jina kwa mtukufu.
 
Kwa moyo wadhati kabisa naipongeza awamu ya 5 kwa kuruhusu huduma ya Freebasics kupatikana hapa nchini kwani inatuwezesha kuingia JamiiForums bure na kutumia tovuti nyingine kama Facebook, BBC Swahili, Shule direct bure kabisa.
Ingewezekana kabisa serikali kuzuia huduma hiyo, lakini kwakuwa inajali wananchi imeruhusu nasi tunatumia bure.

Mwisho niwape pole wafuasi wa Mfalme wa gambe kwa kuzidi kupoteza wabunge.

Ahsanteni
Hao Serikali unao wapongeza Usikute hawajui hata hiyo freebasics ni mdudu gani!.. kama wameshindwa kumdaka Kigogo unadhani wanapata wapi Jeuri ya kuipiga pin hiyo app?
 
Back
Top Bottom