Basi iyo nyumba iliyotaka kununuliwa ipo ndani ya kiwanja zaidi ya heka 10. Cheki ilo ghorofa ni MBA gala ni million 500 na bado negotiable kumbuka na hapo madalali wanataka cha juu. Anayeiu, a usikute anata taka million 250View attachment 1623279
Huwez kunidanganya lolote kuhusu real estate dar , mwenge Hakuna kiwanja Cha milion 500 labda iwe maheka.Kigamboni sio sehemu ya biashara,pia hiyo nyumba ni nzuri lakini haipo kibiashara na haipo eneo la biashara jamaa nyumba yao ina vyumba 10 lakini wamezungukwa na biashara tupu,japo eneo dogo lakini ukivunja unatoa ghorofa ya maana kwa ajili ya biashara kwahiyo kinachoipa thamani sio nyumba yao bali ni ile ardhi ya pale kwa sasa ni adimu na dili.
Huna unalojua wewe dogo kaa kwa kutulia.Sasa unashangaa nini? Unafikiri ni vigwaza pale...nenda kamvue mtu eneo hata manzese uone utaambiwa shilingi ngapi..
Laki 300 ndio nini ?Mita moja ya mraba mwenge inaweza kuwa imefika laki 300 kwa maeneo ya biashara.
Kwa kiwanja kikubwa cha sq. 1000 kinakuwa 300'000'000/-
Bado kuna opportunity cost.. unaniondoa nitaloose nini na utagain nini. Kiwanja kile kile mtu akijenga frame za vyumba 8 kwa matofali 3000.... Na mwingine akajenjenga nyumba ya vyumba nane ya makazi wakati wa kuuza japo vyote vimegharimu sawa sawa ujenzi mwenye frame atauza ghali zaidi ya mwenye nyumba ya makazi... Simply because huku kwenye biashara kunakuwa na matumaini ya kupata siku za usoni.
Hiyo uliyoweka wewe ni nyumba nzuri kwenye eneo lisilokuwa na thamani kubwa. Gharama za ujenzi ziko fixed ..mfano nyumba kama hiyo unaweza ukalipa laki 5.5 mpaka laki 6 kwa mita moja ya mraba kujenga.. iwe uko Mbeya, Mwanza au Mtwara.. ila kiwanja cha kuiweka nyumba kikavary significantly.
Mfano moja ukajenga Kibena Njombe, Nyingine ukajenga Capripoint Mwanza naYa mwisho ukajenga Oysterbay DSM.. japo gharama za ujenzi ni zile zile .. ila thamani ya nyumba hizi itakuwa tofauti. Kutokana na mahali ilipo.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Milion 500 ya nyokoMzee anayokwambia ni kweli kabisa hiyo 500 kiwanja ni sahihi kabisa bila tatizo
Milion 500 ndio milion 300 au hujaelewa nabishia nini ?Acha ubishi buda..nina jamaa yangu anakaa makumbusho wana nyumba pagale tu(kinyumba cha zamani sana kimechoka ukinunua unanua uwanja tu) wamepewa hadi 300M +,mzee wake amekataa japo aliachiwa urithi na baba yake.
Ingia Google weweee acha dharau. Why are you judgemental?Unaijua Bilion 2 na milion miatatu wewe,uwoya sepetu daaah unachekesha mkuu,,
Uwoya hata milion 40 hana
Sepetu hata milion 50hana
Unaijua Bilion 2 na milion miatatu wewe,uwoya sepetu daaah unachekesha mkuu,,
Uwoya hata milion 40 hana
Sepetu hata milion 50hana
Acha wivu weweeNani anawaandikiaga hivi?
Wanadanganya WATU wasiowajua huko nchi za Watu ila sio sisi
View attachment 1623342View attachment 1623343View attachment 1623344
Nini weweee nut crackerMtoa mada anaonekana ni wale watu wnaangalia sana bongo muvi...ni wale watu wanaosemaga..."muvi za sizoni"
Hatar sana
Mhhh! Boss vipi Tena[emoji23]Kuna wenzetu humu jamvin na uhakika wako kwenye iyo list ya 450 Tanzania dollars millionaires mwamba Erythrocyte na RRONDO.
Saguda47 Sina uhakika bado kama siyo millionaire basi anacheza na malaki ya dollars
Wewe ni registered valuer!? Maana Kama sio acha stori za vijiweni.Laki 300 ndio nini ?
Lete Bei elekezi ya viwanja as per ministry of land hapa.
Unajua Bei elekezi ya viwanja kariakoo ?
HahahahaaaAcha wivu wewee
Acha wivu wewee Toto la kiumeHata mimi nimeshangaa.
Pesa za kudanga eti mtu awe bilionea wewe uliona wapi?Ulisikia wapi?Kuna huyo mwingine sijui wolper si yule anauza vitenge?Kuwa bilionea haijawahi kuwa rahisi hivyo,halafu hao wasanii mali zao zote huwa ni za uongo tu baadae umaarufu ukiisha wanakuja kuwa choka mbaya kama mr. nice,dudubaya na TID
mimi niwaonee wivu wadangaji kweli,utakuwa una wazimuAcha wivu wewee Toto la kiume
We mshamba mkweli...baki hivyo hivyo...Arusha tu mianzini kuna mtu kakataa m300...itakuwa manzese tena barabarani...unaangalia uzuri wa mandhari? Hizo ni center za biashara pimbi wewe..Huna unalojua wewe dogo kaa kwa kutulia.
Yani manzese Kuna kiwanja Cha milion 500 hahaha. Sehemu ambayo ni skwata , hakuna sewage system, no security systems, Hakuna emergency roads n.k.
Akili za watanzania zimejaa makamasi tembeeni nje muone Nyumba au viwanja vya milion 500.
Milion 500 Ni kama dola 235,000 hivi hiyo hela unakuwa na Nyumba nchi yoyote ya maana duniani kuliko kujibanza hapo manzese kunanuka mavi na joto. Unajenga mjengo wako pembeni wemejaa masikini
Hiyo kigamboni mzee baba, bado ipo ki residential zaidi..Basi iyo nyumba iliyotaka kununuliwa ipo ndani ya kiwanja zaidi ya heka 10. Cheki ilo ghorofa ni MBA gala ni million 500 na bado negotiable kumbuka na hapo madalali wanataka cha juu. Anayeiu, a usikute anata taka million 250View attachment 1623279