Majumba ya Uhindini Kahama na Isaka Road watu wanakula mpaka 400 yeye anaongelea Mjini Makumbusho 🙂We mshamba mkweli...baki hivyo hivyo...Arusha tu mianzini kuna mtu kakataa m300...itakuwa manzese tena barabarani...unaangalia uzuri wa mandhari? Hizo ni center za biashara pimbi wewe..
Si ndio hapo sasa...ana chukulia vitu easy..Majumba ya Uhindini Kahama na Isaka Road watu wanakula mpaka 400 yeye anaongelea Mjini Makumbusho 🙂
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Usimfananishe MO dewji na watu wajingawajinga.Kwenye hiyo list ya mamilionea umasahau kuwataja Harmorapa, Kingwendu, Ray C, Dudu Baya na Mo Dewji.
Kuna sehemu ni mpaka 800MKinondoni viwanja milion 500 ?
Hivi unaijua milion 5 wewe
Tanzania act nyingi Sana hao wote wakifa mali zinapotea siku wanayokufa yaani wanaishi maisha ya kuigiza kuliko uhalisia wa maisha yao halisi.uongo huwa unawahi kusikika kuliko ukweli muda utakuja kuongea tu.mungu yupo kikubwa pumzi atujalie.Inakuwaje wanaJF!
Kuwa Dollar Millionaire siyo mchezo naweza sema ni bahati ndio maana ni wachache sana. Wee fikiria nchi yenye watu million 60 halafu kati ya hao ni 450 ndio dollars millionaires siyo mchezo Aisee ni wakupongezwa.
Nimeshangazwa na hawa kuwa dolls millionaires nawapa pongezi sana.
1. Hamisa Mobeto 1-5 Millions US $
2. Irene Uwoya 1-5 $ millions US $
3. Wema Sepetu 1-5 millions US $
4. Wolper 1-5 millions US $
5. Harmonize 1.5 millions US $
Hongera na big up.
Diamond 5 millions $
Ali Kiba 5 millions $
Source: Google search
Usimfananishe MO dewji na watu wajingawajinga.
MO ni billionaire
Wote hapo hakuna mwenye million kumi ndaniUnaijua Bilion 2 na milion miatatu wewe,uwoya sepetu daaah unachekesha mkuu,,
Uwoya hata milion 40 hana
Sepetu hata milion 50hana
Nilishangaa sana nilisearch wasanii matajiri afrika masharti nikakutana na mtandao flani eti Pro Jay namba 4. Nikasema kumbeeeInakuwaje wanaJF!
Kuwa Dollar Millionaire siyo mchezo naweza sema ni bahati ndio maana ni wachache sana. Wee fikiria nchi yenye watu million 60 halafu kati ya hao ni 450 ndio dollars millionaires siyo mchezo Aisee ni wakupongezwa.
Nimeshangazwa na hawa kuwa dolls millionaires nawapa pongezi sana.
1. Hamisa Mobeto 1-5 Millions US $
2. Irene Uwoya 1-5 $ millions US $
3. Wema Sepetu 1-5 millions US $
4. Wolper 1-5 millions US $
5. Harmonize 1.5 millions US $
Hongera na big up.
Diamond 5 millions $
Ali Kiba 5 millions $
Source: Google search
Mkuu unataka watanzania waongelee maisha ya wamarekani tu au?Duh, huyu ni mtanzania anaongelea maisha ya watanzania wengine. Ama kweli naendelea kuulaani umasikini unaharibu sana akili.
Hapa na wewe ume danganya japo na yeye katuweka ila wewe unakawivu fulani kifupi wapoVichekesho hivi hahahahha
Hizo sura hapo hamna Millionaire hata mmoja
tena usipotoa mbeguNgada ni mbaya kwa afya ya akili
Naunga mkono hoja….nadhani wanaobisha hawana exposure ya biashara za nyumba na viwanja vya mjini….Nakumbuka kuna site iliuzwa maeneo ya sayansi/makumbusho kwa 500mil after negotiation...bei ya kuanzia ilikuwa 800m.Kuna sehemu ni mpaka 800M
wataje hao mamillionaire N.B millionaire kwa fedha zetu za kitanzania ni utajiri wa mali zaidi ya shilingi bilioni mbili na milioni maia nneHapa na wewe ume danganya japo na yeye katuweka ila wewe unakawivu fulani kifupi wapo