Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can't wait... You know[emoji4]Happy birthday babygirl, and now I just spoil you with a private party.
Yani leo ntakula mpaka nikome,jiandaeni kunibeba hapo[emoji4]Akchware nitumie fursa hii kumpongeza @'Valentina' kwa niaba ya my wife wangu janeth1
kusherekea siku hii muhimu kwake.
Bezikale nikushukuru kiwatengu kwa taarifa hii
muhimu, umefanya vizuri kumpeleka hapo snowcrest, najua yeye alipanga kufanya pale Naroki.
Infwakti hapo snowcrest iishie saa kumi na mbili na
nusu kisha mje tuimalizie hapa Naura Spring Sanawari.
Nipo na Filipo tunaangusha moja baada ya ingine.
Hongera Valentina
Nimecheka kwa sauti ya juu wewe[emoji1]Weeee umejuaje ni mswiti? Look very.....
Woow kumbe nyie ndugu[emoji7] [emoji14]View attachment 383342halafu kiwatengu ni ndugu yangu[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Naja kuchukua amarula[emoji126][emoji307] happy born day to u Valentina [emoji307]
[emoji307]
feliz cumpleaños, mi querido amiga
[emoji307]
Woow kumbe nyie ndugu[emoji7] [emoji14]
Eeeiii nini tena kutishana huku jamani[emoji22]
Aah jamani[emoji17]leo hii [emoji480] [emoji480] ndio inakufaa,
Wow...Kiukweli I don't have full words of explaining how the world chear up, ulivyokuja ulimwenguni. Congratulations the Most Beautiful Woman!!
Yaaah we are happy for u! Hongera sana kwa kutimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa Valentina...
Umebarikiwa na Mungu, umepewa uzuri wa kipekee!
Nikuambie tu, we ni aina ya mwanamke ambaye kila mwanaume anapenda [emoji12] [emoji12] ...
Hongera sana mdada!!
Mungu akuongezee miaka mingi zaidi ya mafanikio na furaha.
Me and my wife love u sana.
View attachment 383245
Karibuni sana to celebration itafanyika ndani ya snowcrest...
Wadau wote, forum zote kuanzia Wakongwe Asprin, Madame B, KOKUTONA, Khantwe, Otorong'ong'o, Chocs, mshana jr, [color=red]Nyani Ngabu[/color] (valentina's former husband)
Mwanyasi, janeth1,......
Makapuku wote, Bitoz, Jimena, quicleg, th name, atoto na wengine woooote.
Karibuni
Akchware nitumie fursa hii kumpongeza @'Valentina' kwa niaba ya my wife wangu janeth1
kusherekea siku hii muhimu kwake.
Bezikale nikushukuru kiwatengu kwa taarifa hii
muhimu, umefanya vizuri kumpeleka hapo snowcrest, najua yeye alipanga kufanya pale Naroki.
Infwakti hapo snowcrest iishie saa kumi na mbili na
nusu kisha mje tuimalizie hapa Naura Spring Sanawari.
Nipo na Filipo tunaangusha moja baada ya ingine.
Hongera Valentina
Hahaha wewe jamaa kwa drama ,Happy birthday ValentinaStop it right there!
For one, I don't even know her. Never met her in my life and never had any intention to.
Two, based on the fact above, there is absolutely, positively no way I could be her former husband. Just not my type.
Third, please go back and correct it.
hapi besidei bebiEeeiii nini tena kutishana huku jamani[emoji22]
Hahaha wewe jamaa kwa drama ,Happy birthday Valentina
Hahahahaha haya bana ,si mke wa jamii forum ??Drama gani tena?
Mimi huyo hajawahi kuwa mke wangu.
Sasa habari za u former husband zimetoka wapi tena?
Na mimi kumsahihisha mtu ndo drama?
Nimetajwa kimakosa nami nikaweka rekodi sawa.
Drama iko wapi hapo?
Hahahahaha haya bana ,si mke wa jamii forum ??
Hahahaha aisee Ngabu ngoja nikuache,Sijawahi kuwa na mke JF.
Sasa hizi habari nyie huwa mnazitoa wapi?
Kwa nini mnapenda kunizushia mambo lakini?
Mara nizushiwe nina sijui ma apartment Masaki na Msasani...mara sijui nimelala na nani....na sasa mnanizushia mambo ya mke.
Come on guys.
Hahahaha aisee Ngabu ngoja nikuache,