Tumeuhamishia kwangu, karibu
Yaaaaah kwea pipa ukujeeeeHaya ndo maneno...
Do you know fwefwe?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Huko hapajui, ameamua kuja hukuUnapajua sasa?
Kama nilivokuelekeza, hupotei akchwareNdo nilikuwa nataka nikuombe address. π
Huku anakuja mara moja, nitamsindikiza hukoShemegi, unaninyang'anya toke mdomoni?
Utajiri? [emoji15] [emoji15] [emoji15] si uniombee mimiHappy birthday doll. Mungu akupe maisha marefu yenye afya, baraka na utajiri
Heaven Sent... Dah long time no seeMama minuso Heaven Sent
Whts taking you so long?!, ni kwamba hujasikia kuna mnuso wa Valentina ?
Au umefumba macho? π
Happy birthday doll. Mungu akupe maisha marefu yenye afya, baraka na utajiri
Hahaha kumbe tulikuwa tunatype a the same time. Yani ndo nataka niombe niwekwe kwenye ratiba ya kutoa "show" lolMama minuso Heaven Sent
Whts taking you so long?!, ni kwamba hujasikia kuna mnuso wa Valentina ?
Au umefumba macho? π
...nikataka kushangaa ati mama minuso hujasikia hii, umechelewa dakika moja tu, si mbaya lakini..