Hongera sana Maxence Melo

Sijui ni lini utaamua kwa dhati kumwaga mchele kwenye kuku wengi wafaidike Kamarada.
Hapana Kamarada Mimi ni sawa tu na punje ya Chumvi ndani ya Maji ya Bahari ya Hindi.

Katika wale Wanyonge ( Masikini ) wa Kutukuka tuliokuwa tukiimbwa na Hayati nami ni Mmoja wao.

Hata Mimi ni kama Wewe tu niwapo hspa Jamvini ambapo huwa tunafaidika vyema na Wajuvi.
 
Hongera na pongezi zimuendee mkuu Maxence Melo kwa dhati kabisa kuanzisha Forum hii aisee
Sijui nisemaje ili nieleweke
Tangu niijue Jamiiforums nilipata experience kubwa Sana kuliko miaka niliyokaa darasani nikiwa mtupu na mweupe kichwani,

Nimeelimika na kupata exposure humu na leo najivunia maarifa niliyovuna humu pia nawapongeza members wote kwa kutoa michango hasi na chanya iliyonijenga katika nyanja zote kiujumla,

Bila kusahau jitihada zenu za dhati kuijenga forum hii kwa miaka yote bila kukata tamaa na kurudishwa nyuma na yeyote,

Kiufupi nishakua addicted na hii forum ikipita nusu saa sijalog in akili yangu hua inaanza kudemka,
JF imekua sehemu ya maisha yangu daima.

Ishi Sana mkuu Max

Nawakubali Sana wadau wote humu

Nishamaliza kudemka hivyo ndukiiiiiii!🏃🏃🏃
 
Mataga hawaipendi JF, watakuambia ni ya Chadema.
Wanasahau ukosoaji mkubwa wanaouona humu ndiyo mawazo na mtazamo wa watanzania juu ya watawala wa ccm.
 
Kama JF imeweza ku survive mpaka dakika hii pamoja na vita yote ya mwendazake basi ninaweza kukiri kwamba JF will last forever na watu watapita waiache....
 

Hii aifanye tu independent entity serikalin..akae nao awape uwezo..kwangu hiikama TISS tu. Hiki ni chuo kikuu.. niungane na ww kuhusu jina zuri Jamii forums university.

Kutokana na nchi hii kutokuwa utaratibu wa kujisomea, summary za nyuzi wanazopost wadau.zinanifanya nipate mambo mengi mapya
 
@Mexence Melo, ni mwamba, yaaan igneous rock, kwaan kupitia Jamiiforums watu twaeza tema nyongo kwa uhuru sana.

Hakika ww ni mzalendo, unawapenda na kuwapa thamani watu,

Ulifaa kuwa raisi wa nchi hii baada ya kifo cha magu na siyo huu utopolo wa 666sir 100 kigogo2014

Waitu nibakasinge, otaliwao, omkama akubele

Appreciation to you Maxence Melo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…