Hongera sana Nape, Mimi ni Miongoni mwa tulioumizwa sana kutolewa kwako bila sababu

Hongera sana Nape, Mimi ni Miongoni mwa tulioumizwa sana kutolewa kwako bila sababu

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
505
Hongera Sana Mkuu,
Umerudi kwenye Jungu Kuu,
Wahuni walifanya sikukuu,
Pale ulipokamuliwa jipu na Mkuu,
Waoneshe kazi unaiweza, Wala usihangaike nao.

Ulikuwa ukitimizaajukumu Yako,
Tena Kwa kutumia weledi wako,
Ukakumbana na likambako,
Ambalo baba alilipaka upako,
Waoneshe kazi unaiweza, Wala usihangaike nao.

Binafsi niliumia sana,
Ulipotolewa bila la maana,
Nampongeza mama S sana,
Kwa kukuona na kukupa spana,
Waoneshe kazi unaiweza Wala usihangaike nao.

Ubeti wa mwisho namaliza,
Naomba hapa kukuhimiza,
Rudisha uhuru wa habari waliodumaza,
Magazeti yamedumazwa,utazani yanaandikwa na vilaza,
Hata kuyasoma hayana ladha.

Mwisho Nina maliza,na sasa naondoka, Kila la kheri Mkuu,piga kazi. Waoneshe kazi unaweza Wala usihangaike nao.
 
Unaingia lini studio....
Ngoja nikaanue nguo kwanza zinadondoka kwenye kamba
 
Ulipo umia ilimsaidia nini au ulikwenda kwake kulala nae?
 
Hongera Sana Mkuu,
Umerudi kwenye Jungu Kuu,
Wahuni walifanya sikukuu,
Pale ulipokamuliwa jipu na Mkuu,
Waoneshe kazi unaiweza, Wala usihangaike nao.

Ulikuwa ukitimizaajukumu Yako,
Tena Kwa kutumia weledi wako,
Ukakumbana na likambako,
Ambalo baba alilipaka upako,
Waoneshe kazi unaiweza, Wala usihangaike nao.

Binafsi niliumia sana,
Ulipotolewa bila la maana,
Nampongeza mama S sana,
Kwa kukuona na kukupa spana,
Waoneshe kazi unaiweza Wala usihangaike nao.

Ubeti wa mwisho namaliza,
Naomba hapa kukuhimiza,
Rudisha uhuru wa habari waliodumaza,
Magazeti yamedumazwa,utazani yanaandikwa na vilaza,
Hata kuyasoma hayana ladha.

Mwisho Nina maliza,na sasa naondoka, Kila la kheri Mkuu,piga kazi. Waoneshe kazi unaweza Wala usihangaike nao.
Hongera mkuu wewe ni noma.
 
Ulipo umia ilimsaidia nini au ulikwenda kwake kulala nae?
Kwani umesahau Mkuu si ulienda kulala nae,au siku hizi umeacha Tabia zako zile. Pumbavuuuuu
 
Kumbe tuliumizwa wengi. Mama katufariji kumrudisha mchapakazi mwenye weledi
 
Ulipo umia ilimsaidia nini au ulikwenda kwake kulala nae?
Ndio maana avatar Yako inaonesha akili zako zilivo kama t...kwo,inaonesha unafikiria kutumia mt.....kwo. haya twende turap we si umelianzisha, unajua mpuuzi hujibiwa jinsi alivo ivo ivo. Wivu umekujaa kama mbwa ms...ge. tafta Hela akili itakukaa sawa Mkuu inaonesha unastress Ki K.
 
Back
Top Bottom