kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Yaaah! Mungu ni mwema sana.
Ni raha na burudani kuwa na rafiki mzuri kama wewe!!
Hakika Mungu siku kama ya leo miaka kadhaa iliyopita alituletea duniani kitu kilichochema na kizuri mno. Honey Faith
Hongera sana kwa kusherekea siku yako ya kuzaliwa.
Ninakutakia miaka mingi zaidi ya furaha na mafanikio hapa duniani na hata milele.
Enjoy your mid 20's...
In extra!! hongera kwa kuzaliwa mzuri na mrembo. [emoji12] [emoji12] ...
Ni raha na burudani kuwa na rafiki mzuri kama wewe!!
Hakika Mungu siku kama ya leo miaka kadhaa iliyopita alituletea duniani kitu kilichochema na kizuri mno. Honey Faith
Hongera sana kwa kusherekea siku yako ya kuzaliwa.
Ninakutakia miaka mingi zaidi ya furaha na mafanikio hapa duniani na hata milele.
Enjoy your mid 20's...
In extra!! hongera kwa kuzaliwa mzuri na mrembo. [emoji12] [emoji12] ...