Hongera sana Rais Samia kwa kuwajali wanyonge

Hongera sana Rais Samia kwa kuwajali wanyonge

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Asalam Aleykum.

Leo katika pita pita yangu kwenye taarifa mbalimbali, nimevutiwa sana kumwona Mh. Rais Samia akiwa sokoni, huku akinunua baadhi ya bidhaa na kuahidi kuwapa mitaji baadhi ya wajasiriamali wadogo wadogo.

Binafsi nimejisikia faraja na namwombea aendelee kuwajali wananchi wa hali ya chini na kufanya kila linalowezekana kuhakikisha anawapunguzia makali ya maisha.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais wetu,
Amina.
 
Asalam Aleykum.
Leo katika pita pita yangu kwenye taarifa mbalimbali, nimevutiwa sana kumwona Mh. Rais Samia akiwa sokoni, huku akinunua baadhi ya bidhaa na kuahidi kuwapa mitaji baadhi ya wajasiriamali wadogo wadogo. Binafsi nimejisikia faraja na namwombea aendelee kuwajali wananchi wa hali ya chini na kufanya kila linalowezekana kuhakikisha anawapunguzia makali ya maisha.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais wetu,
Amina.
Good thing she did, si haba
 
Chadema watapinga hii
Kuwa upinzani, haimaanishi upinge kila kitu Mkuu..
Nina imani kwa hili alilolifanya mh. Rais, hata wapinzani wake wamefurahi na wanatamani aendelee hivyo hivyo.
Kingine asiwazuie wale ambao huwa wanakuwa na shauku ya kupeleka haja zao kwenye misafara yake. Ajitahidi tu kuwasikiliza kama ambavyo wao huwa wanatoa muda wao kumsikiliza.
Akifanya hivyo, nina imani Watanzania wengi tutazidisha mahaba yetu kwake kuliko ilivyo sasa.
 
Back
Top Bottom