fatmanuria
JF-Expert Member
- Aug 26, 2017
- 440
- 701
sana yan ..mana gharama ya kuandaa jukwaa inaweza kuwa kubwa kuliko kipato walichoingiza
Kwa hiyo huenda watakuwa wamekula za uso?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo huenda watakuwa wamekula za uso?
Nachukua nafasi hii kumpa heko new mastermind wa Clouds ndg Sebastian Maganga kwa kuweza kufanikisha show ya Fiesta. Juzi niliandika uzi wa kuonyesha wasiwasi wangu kuhusu show kutopata wahudhuriaji kabisa, lakini hali imekuwa tofauti na washabiki japo sio kama ilivyozoeleka walijitokeza si haba.
Hii inaonyesha kwamba haukuweka silaha chini umepambana bila uwepo wa Ruge na tamasha limefanyika.
Kuhusu kukonga nyoyo za mashabiki na mahudhurio sitopenda nilizungumzie kikubwa ni show imefanyka. Hongera sana na kiasi fulani mmepata cha kujifunza!
View attachment 975187
Juma Nature hongera pia kwa kuwa man of the show
View attachment 975189
Mashabiki wakipata vibe la kutosha
View attachment 975197
View attachment 975199
Binafsi sidhani kama ni upinzani ila kwa sasa hali ya uchumi kwa watu wa kati imezorota na sio matamasha tu hata biashara ya kawaida imekuwa ngumu sana dec iko chini sanaWamepata mpinzani wa kweli
Ni kweli ila nafikir ata wenyewe wanaonekana kuweweseka na huu upinzani wa diamond, uchumi ni moja lakini pili kupoteza mvuto watu wanataka vitu vipyaBinafsi sidhani kama ni upinzani ila kwa sasa hali ya uchumi kwa watu wa kati imezorota na sio matamasha tu hata biashara ya kawaida imekuwa ngumu sana dec iko chini sana
Wamejitahidi sana!Mkongwe ni mkongwe tu.