Hongera sana Seba Maganga wewe ni ''champion'', hatimaye Fiesta imefanyika

Kama Kweli Ulienda Uwanjani Jana, basically Seba na team yake wameproove kwamba wanahitaji performance Kubwa Sana, idadi ya Watu sio Inayotakiwa na kile Kiuwanja ni Kidogo Sana
 
Binafsi sidhani kama ni upinzani ila kwa sasa hali ya uchumi kwa watu wa kati imezorota na sio matamasha tu hata biashara ya kawaida imekuwa ngumu sana dec iko chini sana
Ni kweli ila nafikir ata wenyewe wanaonekana kuweweseka na huu upinzani wa diamond, uchumi ni moja lakini pili kupoteza mvuto watu wanataka vitu vipya
 
Wamejitahidi na kumwalika DAB maana alisikika akimwombea Ruge apone mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…