Hongera sana SOPU

Sopu kamaliza pakti unaambiwa!
 
Kwa hiyo George Mpole kwa sasa ni zilipendwa! Habari ya mjini ni Sopu.

Kazi kweli kweli.
 
Niendelee kuwapongeza kwa dhati kabisa SOPU na Mpole kwa kuonesha utopolo walivyo laini uwanjani.
 
sasa Sopu na Mpole kubeba kiatu kuna uhusiano gani mkuu
Wote ni wafungaji wanaojielewa kwenye ligi kuu yetu zaidi ya yule mkongomani aliyekuwa anatetemeka kila siku uwanjani
 
Sawa,wape muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…