Hapana Mimi raia WA kawaida tuBilashaka wewe ni mwalimu na lengo lake uombe kuongezewa posho๐๐ by the way mungu awasiamamie vijana wetu wafanye vizuri zaidi
Kuna kaukweli Fulani hapaHii mitihani ingefutwa tu, maana iko kisiasa tu lengo lao litimie kwa wengi kumaliza form 4
Ila wamesimamia vizur Sana waangaliwe kwenye hiliTatizo ugali umepunguzwa, kutoka wiki naaa kuwa siku mbili ๐