Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njaa mbaya hata hum JF tunae mmoja anaitwa Pascal Mayalla kikwetu maana yake ni njaa,
Ccm kuendelea kuogopa kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya nalo ni janga kubwa sana na ombwe la uongozi kwa taifa.Kwa ujumla nafikiri kuna la kujifunza ktk kuziendea kwetu siasa na mustakabali wa maisha yetu binafsi.....napata hisia kuwa hawa wanasiasa wanajua wanalolifanya hawa. Ameongelewa kitila hapa, mi nawagusia wengine;
1. Viongozi wote wa chadema (isipokuwa dr slaa) kumpokea lowassa kwa shangwe 2015
2. Mbowe kugeuka kuwa mwenyekiti wa kudumu wa chadema (katiba ilibidi ifumuliwe kwa ajili yake)
3. Wabunge kibao wa chadema kuunga mkono juhudi n.k
Maisha yanamtwanga kila upandeView attachment 1884921
huyu njaa yake iliingia mpaka kwenye mifupa na blood vessels
HahahahaaaaCcm kuendelea kuogopa kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya nalo ni janga kubwa sana na ombwe la uongozi kwa taifa.