Hongera Senegal kwa kuwapiga CCM huko Misri.

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Ilisemwa na ikarudiwa tena na tena kwamba chochote inachofanya Taifa stars ni utekelezaji wa Sera za CCM. Hivyo kipigo cha Leo ni utekelezaji mzuri wa Sera za CCM za kuhakikisha Watanzania wanaishi kwa shida muda wote. Hongera Senegal kwa kuwasaidia CCM kutekeleza Ilani yao ya kushindwa kila jambo.
 
[emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama timu ikifanyaga vizur wanasema ni juhudi za Serikali ya awamu ya tano basi hata ikifanya vibaya pia waseme vivyo hivyo....
Nawasubiri wabebe majukumu yao, maana walisema wanatekeleza Ilani.
 
Wewe Nani kakuambia maisha Bora kwako yanaletwa na ccm,pambana
 

siku hizi watanzania wamekuwa weusi kama jaruo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…