Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Mwalimu wa sanaa angeondoka na 560 net na wa sayansi aondoke na 950 net take home. Haiwezekani mtu asome fizikia mechanics Yale madude yalivyo magumu uje kunilinganisha na mtu aliyesoma Mali empire.
Ila hii 34k Ni kuwatukana,Kama vipi wote Bora wasome arts
Ila hii 34k Ni kuwatukana,Kama vipi wote Bora wasome arts