johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeukumbuka wimbo wa hussein machozi, 'kwa chuki, kwa moyo utaipendaaa (hapa iwe 'utampenda') eeeeea, utaipenda o-o-ooooo!'Vipi wazee wako huko kijijini wanasemaje kupanda kwa Bei ya mbolea,petrol, cement , tozo nk,au watakula barabala za mwananyamala?
Machame wazee hawana matatizo bwashee!Vipi wazee wako huko kijijini wanasemaje kupanda kwa Bei ya mbolea,petrol, cement , tozo nk,au watakula barabala za mwananyamala?
John wewe ni mkazi wa mwananyamala ipi, kwani nami jirani yako tujuaneKwa niaba ya Wazawa wa mwananyamala nichukue fursa hii kuipongeza serikali ya CCM kwa ukarabati mkubwa wa barabara zote unaoendelea kuanzia Vijana hostel na mzunguko wote Komakoma, A nyamala, Manjunju, Kwa mama Zakaria Peace Kwa kopa, Magengeni, Hospitali na kurudi pale A nyamala kwa mzee Lutangilo Ng'ondya!
Mungu ni mwema wakati wote!
Jambo la kheriKwa niaba ya Wazawa wa mwananyamala nichukue fursa hii kuipongeza serikali ya CCM kwa ukarabati mkubwa wa barabara zote unaoendelea kuanzia Vijana hostel na mzunguko wote Komakoma, A nyamala, Manjunju, Kwa mama Zakaria Peace Kwa kopa, Magengeni, Hospitali na kurudi pale A nyamala kwa mzee Lutangilo Ng'ondya!
Mungu ni mwema wakati wote!
Dar Kuna machame!Machame wazee hawana matatizo bwashee!
Vipi wazee wako huko kijijini wanasemaje kupanda kwa Bei ya mbolea,petrol, cement , tozo nk,au watakula barabala za mwananyamala?
Bwashee muhimu ulikuwa ni huo mzunguko kwanza.Ukisema bara bara zote ina maana mwananyamala yote ina lami
Mbona mitaa ndani akiba Bank,ipole Street,mitaa ndani ya makoma hkuna lami
Ova
Ahsante mkuu!Kwahiyo ulitaka tuendelee kula vumbu kisa tu bibi zako wa huko maporini?
Hapa ni jijini lazima tupendelewe
Mm kwangu mitaa ya garden lami ilipitaBwashee muhimu ulikuwa ni huo mzunguko kwanza.
Halafu upande ule wa komakoma Kanisa Anglican barabara kibao zina lami!
Awamu inayokuja ndio mitaa ile ya Bui bui kwa mzee Kiaratu hadi Kambangwa .Mm kwangu mitaa ya garden lami ilipita
Ila baharia rubama analalamika mitaa yao upande ule mbona wanasahulika
Aise kwa diwani songoro lami itamfikia
Kule😂😂 buibui kushuka chini
Ova