Hongera simba na yanga

Hongera simba na yanga

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,617
Reaction score
8,244
Nazipongeza timu zetu 2 za yanga na simba kufuzu makundi, kwani imetuongezea heshima, ika hawa Singida big stars wanastahili lawama kabisa kwa jinsi walivyoitayarisha timu, wamepeleka timu bila makocha wa uhakika na tumetolewa na timu ikiwa pungufu ya mchezaji mmoja aliyepigwa red card, hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom