Hongera Simba na Yanga

Hongera Simba na Yanga

MakaDik

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2019
Posts
239
Reaction score
136
1. Simba na Yanga hongera, kujipa nguvu nyumbani
Mmeonesha ubora, bara pia visiwani.

Mmeionesha dira, kwamba mmekuza Fani
Kaza buti msikwame, shikilia hapohapo

2. Kaza buti msikwame, shikilia hapo hapo.

Msitari msihame, kwepa tabia ya popo.

Kwa kabumbu mjitume, kataa kuwa makopo.

Kaza buti msikwame shikilia hapohapo

3. Kwenye hili Simba yanga, muutafute Umoja.

Hapo ndipo kuna mwanga, mkiufunga mkaja.

Mtayaleta majanga, kwa ugomvi uso tija.

Kaza buti msikwame shikilia hapohapo

4. Niseme neno la mwisho, kabula wino kuisha.
Ushindi huja kwa jasho, mazoezi mkikesha.
Bila kutazama Posho, cheza bila kujikosha
Safari mliyoanza iwe njema kwa ushindi
 
Yanga wanayo nafasi ya kusonga mbele, kwa namna wanavyocheza. Wachezaji wako fit, Wana kasi, na wanatia matumaini.

Simba labda wafanye usajili. Ushindi Jana wameupata lkn wachezaji hawaoneshi uhai. Timu bovu, timu limekufa, timu lomejaa wazee.
 
Yanga wanayo nafasi ya kusonga mbele, kwa namna wanavyocheza. Wachezaji wako fit, Wana kasi, na wanatia matumaini.

Simba labda wafanye usajili. Ushindi Jana wameupata lkn wachezaji hawaoneshi uhai. Timu bovu, timu limekufa, timu lomejaa wazee.
Unahitaji mzee mmoja tukuozeshe?
 
Yanga wanayo nafasi ya kusonga mbele, kwa namna wanavyocheza. Wachezaji wako fit, Wana kasi, na wanatia matumaini.

Simba labda wafanye usajili. Ushindi Jana wameupata lkn wachezaji hawaoneshi uhai. Timu bovu, timu limekufa, timu lomejaa wazee.
Hah aisee mahaba ni makubwa!Tofautisha Waydad na Mediama mkuu.Simba kacheza na timu ngumu sanaaaaaa kuliko Yanga.


Na nafasi ya Yanga ni ngumu ktk kufuzu kuliko Simba
 
Yanga wanayo nafasi ya kusonga mbele, kwa namna wanavyocheza. Wachezaji wako fit, Wana kasi, na wanatia matumaini.

Simba labda wafanye usajili. Ushindi Jana wameupata lkn wachezaji hawaoneshi uhai. Timu bovu, timu limekufa, timu lomejaa wazee.
Umevurugwaa weyee, mfyuuuuh
 
Hah aisee mahaba ni makubwa!Tofautisha Waydad na Mediama mkuu.Simba kacheza na timu ngumu sanaaaaaa kuliko Yanga.


Na nafasi ya Yanga ni ngumu ktk kufuzu kuliko Simba
Kwa uchezaji Asec atajipigia Simba goli nyingi sana
 
Yanga wanayo nafasi ya kusonga mbele, kwa namna wanavyocheza. Wachezaji wako fit, Wana kasi, na wanatia matumaini.

Simba labda wafanye usajili. Ushindi Jana wameupata lkn wachezaji hawaoneshi uhai. Timu bovu, timu limekufa, timu lomejaa wazee.
Umejiandaa na matusi ya vijana wa Rage?
 
Yanga wanayo nafasi ya kusonga mbele, kwa namna wanavyocheza. Wachezaji wako fit, Wana kasi, na wanatia matumaini.

Simba labda wafanye usajili. Ushindi Jana wameupata lkn wachezaji hawaoneshi uhai. Timu bovu, timu limekufa, timu lomejaa wazee.
Mimi ombi langu wote Mungu awasaidie Taifa lipate heshima kupita wao
 
1. Simba na Yanga hongera, kujipa nguvu nyumbani
Mmeonesha ubora, bara pia visiwani.

Mmeionesha dira, kwamba mmekuza Fani
Kaza buti msikwame, shikilia hapohapo

2. Kaza buti msikwame, shikilia hapo hapo.

Msitari msihame, kwepa tabia ya popo.

Kwa kabumbu mjitume, kataa kuwa makopo.

Kaza buti msikwame shikilia hapohapo

3. Kwenye hili Simba yanga, muutafute Umoja.

Hapo ndipo kuna mwanga, mkiufunga mkaja.

Mtayaleta majanga, kwa ugomvi uso tija.

Kaza buti msikwame shikilia hapohapo

4. Niseme neno la mwisho, kabula wino kuisha.
Ushindi huja kwa jasho, mazoezi mkikesha.
Bila kutazama Posho, cheza bila kujikosha
Safari mliyoanza iwe njema kwa ushindi
Wewe ni mzalendo halisi[emoji1548][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ombi langu wote Mungu awasaidie Taifa lipate heshima kupita wao
Mpira hautegemei maombi. Ingekuwa hivyo basi Mecca, Saudi Arabia na Roma, Italia wangekuwa ndiyo wanachukua makombe ya dunia kila mara.
 
Back
Top Bottom