Hongera Simba SC kwa kushinda ngao ya jamii 2023/2024

Hongera Simba SC kwa kushinda ngao ya jamii 2023/2024

Duuu, anyways kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake ili mradi asivunje sheria.
 
Ukiisema azam mbovu, manake umeidharau yanga uliyofichua udhaifu wa azam....binafsi wako vzr sn sema wamekutana na timu bora, hawa azam muwatukane mkicheza nao nyie...sisi tunaona ni timu ngumu sn japo tumeifunga
 
Hongera mnyama kwa kushinda kombe la ngao ya jamii kwa msimu huu wa 2023/2024

Pole Singida Fountain kwa kupokea kipigo kitakatifu bila huruma.Japo mlionesha kuimarika hasa beki Onyango ni kama aliwaonesha Simba amezaliwa kukaba

Pole nyingine ziende kwa Dar young African Sports club kwa kupokea kipigo katika fainali ya Community shield.

Pongezi ziende kwa TFF na bodi ya Ligi kwa kuanzisha mfumo huu wa kuingiza timu nne kwenye ngao ya jamii

Pongezi nyingine kwa TFF kwa kufanya Mkwakwani uonekane kama Wembley ya low budget

Pongezi na Ushauri kwa Azam media tunathamini juhudi zenu lakini tunaomba muongeze Camera kwenye kunasa matukio All in All mmefanya na mnafanya kazi kubwa na nzuri sana.

Nawasilisha,karibu kwa POVU,tusi,na hasira zote

Ni mimi
Mcha-MBUZI
Serikali ina mzigo mkubwa sana kufuga watu kama nyie ndiyo maana mnamchanganya mama yetu, ukamatwe kwa ramli chonganishi na kutoshirikisha wenye akili.
 
Hongera mnyama kwa kushinda kombe la ngao ya jamii kwa msimu huu wa 2023/2024

Pole Singida Fountain kwa kupokea kipigo kitakatifu bila huruma.Japo mlionesha kuimarika hasa beki Onyango ni kama aliwaonesha Simba amezaliwa kukaba

Pole nyingine ziende kwa Dar young African Sports club kwa kupokea kipigo katika fainali ya Community shield.

Pongezi ziende kwa TFF na bodi ya Ligi kwa kuanzisha mfumo huu wa kuingiza timu nne kwenye ngao ya jamii

Pongezi nyingine kwa TFF kwa kufanya Mkwakwani uonekane kama Wembley ya low budget

Pongezi na Ushauri kwa Azam media tunathamini juhudi zenu lakini tunaomba muongeze Camera kwenye kunasa matukio All in All mmefanya na mnafanya kazi kubwa na nzuri sana.

Nawasilisha,karibu kwa POVU,tusi,na hasira zote

Ni mimi
Mcha-MBUZI

Una lazimisha uonekane na wewe ni mtabiri [emoji23][emoji23]
 
Hongera mnyama kwa kushinda kombe la ngao ya jamii kwa msimu huu wa 2023/2024

Pole Singida Fountain kwa kupokea kipigo kitakatifu bila huruma.Japo mlionesha kuimarika hasa beki Onyango ni kama aliwaonesha Simba amezaliwa kukaba

Pole nyingine ziende kwa Dar young African Sports club kwa kupokea kipigo katika fainali ya Community shield.

Pongezi ziende kwa TFF na bodi ya Ligi kwa kuanzisha mfumo huu wa kuingiza timu nne kwenye ngao ya jamii

Pongezi nyingine kwa TFF kwa kufanya Mkwakwani uonekane kama Wembley ya low budget

Pongezi na Ushauri kwa Azam media tunathamini juhudi zenu lakini tunaomba muongeze Camera kwenye kunasa matukio All in All mmefanya na mnafanya kazi kubwa na nzuri sana.

Nawasilisha,karibu kwa POVU,tusi,na hasira zote

Ni mimi
Mcha-MBUZI
Umetoroka Mirembe?
 
Back
Top Bottom