Prof Wema .A. SepetuHa ha ha yule angekuwa mpk professa.
Kuna mtu alisema humu k ana Masters (MBA)! Sasa hiyo PGD yanini tena?
Halafu ni chuo gani?
Nature alionjeshwa akapagawa...Sinta was like 'imetosha chapa lapa'.....inasemekana wakati anaandika 'inaniuma sana' alikuwa anatokwa machozi mfululizo.Nature alimtia machungu.......
Ile ni MA International Relations and Diplomacy. hii PGD ni from Ustawi Wa Jamii (kama nakumbuka vizuri)Kuna mtu alisema humu k ana Masters (MBA)! Saasa hiyo PGD yanini tena?
Halafu ni chuo gani?
OK .....Ile ni MA International Relations and Diplomacy. hii PGD ni from Ustawi Wa Jamii (kama nakumbuka vizuri)
Education is sexy
Kuna mtu alisema humu k ana Masters (MBA)! Sasa hiyo PGD yanini tena?
Halafu ni chuo gani?
Teh Teh wewe muongo wa kutupwa!Hongera sanaNa Wewe Mhaya ( Mtani ) Wangu Unanitia Aibu Bhana. Kwani Huwezi Kuwa Una Masters Degree Yako Lakini Ukafanya Post Graduate Diploma Ya Kitu Fulani? Mbona Hii Ni Very Normal Duniani? Mbona Hata Mimi November Mwaka Huu Nahitimu Rasmi Na M.A. Yangu Ya MASS COMMUNICATION Lakini Pia Sasa Nipo Mwaka Wa Mwisho Nafanya PGD Ya INTERNATIONAL RELATIONSHIP Na HAKIHARIBIKI Kitu? Mtani Wangu Leo Umeniangusha Kweli Na Ngojea Rafiki Yako Nifah Auone Huu UPOPOMA Wako.
Teh Teh wewe ni muongo wa kutupwa kabisa
Chanda chema huvikwa Pete hongera Sintah japo deki uliyopiga itakugharimu uzeeniMsanii mkongwe wa maigizo nchini, Christina Manongi maarufu kama Sintah, amewashtua baadhi ya mashabiki wake baada ya hivi karibuni kuibuka baada ya ukimya wa muda mrefu, ambapo imejulikana mrembo huyo aliyewahi kuwa mpenzi wa Juma Nature alikuwa busy akipiga kitabu ambapo sasa hivi amegraduate postgraduate ya diplomasia.
Hata hivyo baadhi ya mashabiki zake wamempongeza Sintah kwa uamuzi wake huo wa kurudi shule tofauti na wakongwe wenzie ambao miaka nenda rudi wapo vile vile.
View attachment 316756
Teh Teh kapitie thread zakoUwongo Wangu Uko Wapi Tena Mtani? Uthibitishe Basi!
Kwani ulikuwa hujui kama ana Masters ya mahusiano ya kimataifa?mastaa wenye PHD za umalaya bongo movie, bora sintah kaamua kujiendeleza kielimu, nilikua namuona mburula ila sasa hiv heshima kwake