Hongera Sintah kwa ku 'graduate'

Hongera Sintah kwa ku 'graduate'

Nature alionjeshwa akapagawa...Sinta was like 'imetosha chapa lapa'.....inasemekana wakati anaandika 'inaniuma sana' alikuwa anatokwa machozi mfululizo.
Hata mimi japo nilikuwa mdogo lakini iliniuma sana.
 
Ile ni MA International Relations and Diplomacy. hii PGD ni from Ustawi Wa Jamii (kama nakumbuka vizuri)

Education is sexy
Sidhani mama huyu hiyo PGD ni ya diplomasia na itakua kachukulia Kurasini ,labda Masters ni ya kitu kingine lakini sio international relations
 
Na Wewe Mhaya ( Mtani ) Wangu Unanitia Aibu Bhana. Kwani Huwezi Kuwa Una Masters Degree Yako Lakini Ukafanya Post Graduate Diploma Ya Kitu Fulani? Mbona Hii Ni Very Normal Duniani? Mbona Hata Mimi November Mwaka Huu Nahitimu Rasmi Na M.A. Yangu Ya MASS COMMUNICATION Lakini Pia Sasa Nipo Mwaka Wa Mwisho Nafanya PGD Ya INTERNATIONAL RELATIONSHIP Na HAKIHARIBIKI Kitu? Mtani Wangu Leo Umeniangusha Kweli Na Ngojea Rafiki Yako Nifah Auone Huu UPOPOMA Wako.
INTERNATIONAL RELATIONSHIP NI KITU GANI ???
 
Sidhani mama huyu hiyo PGD ni ya diplomasia na itakua kachukulia Kurasini ,labda Masters ni ya kitu kingine lakini sio international relations
M. A International Relations and Diplomacy aliandika mwenyewe kwenye profile ya blog yake, na PGD nimeona mahali now ni Management of Foreign Relations. Let's wait kama kuna mtu mwenye uhakika zaidi atasema ni wapi
C.c Ruttashobolwa
 
Last edited:
Mkuu huyo unayemjibu ndio vichwa vinavyoitwa vyenye akili kubwa pale Lumumba. Sasa kama anasema hivyo utakuwa umepata majibu uwezo wake ukoje na wa hao wanaomuona genius
halafu nasikia huyo rutashobolwa ni mwanasheria sijui wakili...sasa alivyo kilaza hivyo sijui hizo kesi anasimamiaje teh teh teh
 
Hii story sina uhakika nayo hata kidogo. "Haya we si msanii nenda kalipize kwenye TV"
 
Kama hiyo PGD yake ni ya UDSM, MZUMBE, SAUTI, (UDOM kwa mbaaali) shkamoo sinta.
 
Kama hiyo PGD yake ni ya UDSM, MZUMBE, SAUTI, (UDOM kwa mbaaali) shkamoo sinta.
Kwani mkuu ukiondoa UDOM ambayo inatoa bachela ya IR hivyo vyengine vinatoa iyo PGD?maana nnavojua hiyo PGD hutolewa pale chuo cha diplomasia kilichopo kurasini...naomba elimu zaidi tafadhali.
 
Kweli muda ni mwamuzi sinta huyu huyu ambaye Shigongo alikuwa halali kutafuta vichwa vya magaxeti yake. Vijana wa juzi hata hawamjui
 
Na Wewe Mhaya ( Mtani ) Wangu Unanitia Aibu Bhana. Kwani Huwezi Kuwa Una Masters Degree Yako Lakini Ukafanya Post Graduate Diploma Ya Kitu Fulani? Mbona Hii Ni Very Normal Duniani? Mbona Hata Mimi November Mwaka Huu Nahitimu Rasmi Na M.A. Yangu Ya MASS COMMUNICATION Lakini Pia Sasa Nipo Mwaka Wa Mwisho Nafanya PGD Ya INTERNATIONAL RELATIONSHIP Na HAKIHARIBIKI Kitu? Mtani Wangu Leo Umeniangusha Kweli Na Ngojea Rafiki Yako Nifah Auone Huu UPOPOMA Wako.

.... International relationship ndio nini hio ndugu Popoma?
.....Halafu unasoma mass communication lakini unachanganya herufi kubwa na ndogo?
 
Back
Top Bottom