Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa😂🤣😅😅😄Wanatangaza kwa lugha gani?
Hongera wenye startimes hakika mtafaidi, mimi nasikitika kwa Azam kuachana na La Liga yenye ushindani na kwenda ligi ya timu moja Bundesliga
Azam waongo! Eti sababu ya kuachana na Laliga ni kwa sababu ya kupoteza mvuto baada ya Ronaldo kuhamia Juventus!!
Si wangesema tu ukweli kama walishindwa kufikia dau la kurusha mechi za hiyo ligi!! Bundesliga haina kabisa mvuto. Laliga ilishazoeleka kwa watazamaji.
Awa azam wakionesha game ya usiku yaani unaishia kuumia macho wanashindwa ata kubalance mwanga.