Hongera Tanzania yote yawezekana

uchapakazi

If you guys are hard workers as most of you claim.....level ya umaskini, njaa, maisha mabovu visinge kuwepo Kenya. Wengi wenu chakula ni inshu, na wanaopata chakula ni kibovu, yaani, Ugali mbovu na sukuma wiki, nyumba nyingi Kenya zimejengwa na mabati ya debe, usafiri ni matatu ambazo nyingi zilitangazwa zina Kunguni, yaani kunguni mapaka kwenye usafiri. halafu talalila nyingi mitandaoni!
 

oya, hapa tupo kumpongeza ndugu yako kwa kuwa namba tano kwenye Marathon, NAMBA TANO, lol, unatutoa kwenye mada aise, hatuko kwenye makaazi ama miundo msingi, kwa sababu hapo ndipo kabisa hamtuwezi, tuko na challenges kibao lakini upande wa real estate, ndugu yangu Tanzania iko nyuma sana, labda mbishane na Uganda. Hio ya chakula kuna jamaa amepachika video hapo unaweza chungulia tu, baada ya miaka mitatu tutakua tunawauzia nyie chakula, tuna mikakati ya kumaliza tatizo la chakula kabisa. In general, you play and will always play second fiddle to us in all sectors except that of natural resources, hapo mungu alijua nyie vilaza akawapa madini kwa sana, tumewashinda kwenye nyanja zote unazofikiria na gap bado tunazidi kuongeza. Na tutazidi kujisifia hapa ili kuwakumbusha hamna lolote, roho mbaya tu.
 

Hakuna la maana mlilolifanya ingawa mmekua mkipata FDI since mlipopata uhuru na pia hamjui vita ni nini au athari za vita zikoje but still misosi mibovu kama ugali matembele or sukumawiki ni inshu kwa wengi wenu.

real estate? Kweli? Sehemu kubwa ya makazi kenya ni majalala, entire northern side kwa wasamburu, pokot na vilaza wengine wanashea chumba na mbuzi na nguruwe.

Nairobi makazi mazuri wanaishi waindi na wazungu, malofa mko kibera, ziwa la ng'ombe, baba dogo, mathare, kariobangi na pande zingine zisizo rasmi na hatari kwa maisha ya mwanadam.
 
Watu wapo busy ukuta, mambo ya riadha wameweka pembeni.
 
Watu wapo busy ukuta, mambo ya riadha wameweka pembeni.
Hehehe ila duh patakua shughuli. Afu Wabongo hamjazoea mizuka ya aina hii. Mjiandae kuchezea kichapo cha polisi.
 
Wakenya wengi wanaoshonda katika riadha wana asili ya Tanzania, Mara na Arusha.
 
Mombasa na Tanga hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…