Hongera timu ya watu Simba kwa mapato makubwa uwanja wa taifa

Sasa Yanga Sportpesa 1.1B,Taifa gas 1B na GSM Jersey 1.3 B..jumla 3.4B..endeleeni kupiga kelele Yanga masikini
Lile bakuli la nini Sasa? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Milioni 300 ni kabla ya kodi au baada ya kodi? Vyovyote iwavyo, hizo ni pesa kidogo mno kwa watu elfu 60.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…