mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika Klabu ya Simba ni kipenzi cha Watu,pamoja na kuhamasisha Simba Day kwa siku 3,sherehe kufanyika siku ya kazi Watu wenye Simba yao wakaujaza Uwanja wa Taifa na kuingiza jumla ya Sh.380 Mil.huku Timu ya Wananchi YANGA pamoja na makelele mengi wakaingiza Sh.280 Mil.Watanzania Simba ina Watu sio Wananchi.