Hongera ufoo saro

jack chance

Member
Joined
Jul 2, 2009
Posts
17
Reaction score
0
Huyu dada Mtangazaji wa ITV nadhani inabidi apewe pongezi kwa jinsi alivyojitoa muhanga kutangaza habari za CDM wakati wa uchaguzi hadi sasa, amezunguka mikoa yote na viongozi lakini kikubwa ni kule kutoa habari bila kuchakachua ukilinganisha na vyombo vya habari vingine. hongera dada!!!
 

Mtumie kadi ya pongezi na muombe upate naye Kahawa kama si dinner!
 
Ni dhahiri kuwa huyu dada anastahili sifa kwa kazi yake makini ya kutujuza habari! Hivi ITV hawana utamaduni wa kuwazawadia wafanyakazi hodari kama huyu dada wakati wa MEI MOSI?
 
Shauri yako, watakwambia ni mchaga ndo maana haachani na CDM. Simo!
 
huwa namuita mama wa mapori, habari zake nyingi ni za vijijini saaaana na ndizo tunazozihitaji
 
asante kwa hiyo habar maana wengine tulikuwa hatujua kuhusu uyo dada
 
Ata mi nishamwona huyu Dada,anajituma sana na weledi wake. Ni kweli habari nyingi anazotangaza ni za bush sana na ndo ambazo ni mhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu.
Big up Ufoo saro!
 
hana uzalendo na cdm kama mnavyofikiri yeye amelobi cdm kila ziara wamchukue kila siku analipwa laki moja . Angekuwa anajitolea bure tungeweza kujadili ila kwa style hii yeye anaula
 
Ufoo Saro amepigwa risasi na mchumba wake leo asubuhi. Jamaa huyo amejiua.
 
nimeshtuka kusikia hongera wakat yu mahututi. kumbe hii habari ni ya 2011
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…