Hongera uingereza kwa GOAL LINE ila VAR ni ya uongo.

Hongera uingereza kwa GOAL LINE ila VAR ni ya uongo.

we jamaa fara kweli ivi unakijua ulichokiandika
 
Nimeamua kusema hili kutokana na maamzi ya kukataliwa kwa goli la Arsenal dhidi ya Manchester United.
Goli lilioneshwa kuwa Abu alifunga akiwa offside na siyo onside.

VAR nayo eti ikakubali kuwa halikuwa goli.Huu ni ujinga maana maamuzi ya VAR yanategemea mtu kuamua kuliko ilivyo kwa Goal line ambayo ni computered.

Ni wazi uingereza waiondoe VAR haina msaada wowote zaidi ya kuumiza timu.

Muongozaji wa VAR jana aliipendelea Manchester United kwa kitendo cha jana.

Kiwango chako cha upumbavu hakina mfano, unaandika upumbavu unaweka ushahidi unaodhihirisha upumbavu wako.
 
Wazee kama hamjawahi kukosea au siyo? Anyway, jana ni ushahidi kua marefa kuboronga siyo Tz pekee. Maguire alikua mbele ya linesman yaani ni kwamba mvunja offside alikua mbele yake yet akasema ni offside.

Sijui aliwaza nini. Mdau mmoja amepoint kua kabla ya var vile ndivyo Man U imekua ikibebwa.
 
IMG_20191001_150432.jpg


Mimi niliona hivi
 
Wazee kama hamjawahi kukosea au siyo? Anyway, jana ni ushahidi kua marefa kuboronga siyo Tz pekee. Maguire alikua mbele ya linesman yaani ni kwamba mvunja offside alikua mbele yake yet akasema ni offside.

Sijui aliwaza nini. Mdau mmoja amepoint kua kabla ya var vile ndivyo Man U imekua ikibebwa.
Naungana nawe mkono, man utd imetembelea Sana upepo wa marefarii!
 
Goli linapokuwa la utata mwamzi ni VAR sasa hiyo ndiyo picha ya VAR ambayo ni screenshooted kuonesha uhalisia kama ilikuwa offside.

Nani aliyekwambia VAR ni mwamuzi?

VAR haiaalmui chochote katika mpira bali ni Referee ndiye anaeamua.

VAR ni TV tu ambayo referee anakwenda kuliangalia tukio kwa umakini na kujiridhisha yeye mwenyewe kwa jinsi atakavyoliona kwenye hiyo TV (VAR).

Then anaamua kulingana na Mtazamo wake aliouona kwenye TV (VAR) bila ya shinikizo au agizo lolote kutoka kwenye TV (VAR).

Mwisho wa siku tunasema Mwamuzi ni yule mwenye kipenga na sio VAR
 
Ndio maana mi nikishapiga masanga naachana na internet, maana unaweza ukaandika urojo ukiamka siku ya pili unaona noma.
 
Back
Top Bottom