Kiwango chako cha upumbavu hakina mfano, unaandika upumbavu unaweka ushahidi unaodhihirisha upumbavu wako.Nimeamua kusema hili kutokana na maamzi ya kukataliwa kwa goli la Arsenal dhidi ya Manchester United.
Goli lilioneshwa kuwa Abu alifunga akiwa offside na siyo onside.
VAR nayo eti ikakubali kuwa halikuwa goli.Huu ni ujinga maana maamuzi ya VAR yanategemea mtu kuamua kuliko ilivyo kwa Goal line ambayo ni computered.
Ni wazi uingereza waiondoe VAR haina msaada wowote zaidi ya kuumiza timu.
Muongozaji wa VAR jana aliipendelea Manchester United kwa kitendo cha jana.
Naungana nawe mkono, man utd imetembelea Sana upepo wa marefarii!Wazee kama hamjawahi kukosea au siyo? Anyway, jana ni ushahidi kua marefa kuboronga siyo Tz pekee. Maguire alikua mbele ya linesman yaani ni kwamba mvunja offside alikua mbele yake yet akasema ni offside.
Sijui aliwaza nini. Mdau mmoja amepoint kua kabla ya var vile ndivyo Man U imekua ikibebwa.
View attachment 1220766
Mimi niliona hivi
Goli linapokuwa la utata mwamzi ni VAR sasa hiyo ndiyo picha ya VAR ambayo ni screenshooted kuonesha uhalisia kama ilikuwa offside.